Nilikuwa nakuombea uondolewe adiksheni ya jukwaa la mastress kule, hatimaye kilio changu kimesikika..........karibu nyumbani mwalimu wangu. Usitende tena dhambi.We acha tu manake staki kuamini kama huyu Invizibo sala zetu kaziweka kapuni. Nipo sana tu nasaka pesa ya kufika Loliondo kabla Babu hajasitisha huduma kwa kuhujumiwa.
Mkuu we ushaoa?...Kama vipi mkuu.....!:der:
Nilikuwa nakuombea uondolewe adiksheni ya jukwaa la mastress kule, hatimaye kilio changu kimesikika..........karibu nyumbani mwalimu wangu. Usitende tena dhambi.
Jirani una mambo wewe? Leo utanuniwa tu ukirudi kazinicheki pm yako kaka.....
cheki pm yako kaka.....
Ni mimi jamani, ntamwambia leo aje awajuvye
Hahahahaha.....
Mungu wa Miss Judith kaingia mitini kwa ombi moja tu la Miss Judith kumuoa mme wake.
Afadhali angalau Mungu wa babu wa Loliondo ametenda miujiza kwa mambo kadhaa
Haya tupe yaliojiri sio mpaka yeye aje hapa!!Ni mimi jamani, ntamwambia leo aje awajuvye
Na huenda ikawa pia aliathiriwa kisaikolojia na mambo ya wasudan...basi tuzame gotini! ha ha haaa!Mkuu ni-PM na mimi basi...
jamani tuzidi kumuombea. Mara ya mwisho alisema amekuwa ni mtu wa safari sana ndani na nje ya nchi. Ikumbukwe kuwa aliwahi kufanya kazi SUDAN,
Huenda amerudi huko, safari hii jimbo la DARFUR, tumuweke kwenye maombi mpendwa wetu.
Lete thread husika dada!...Hata kama ni PM i'paste hapa!Mbona alishajibu kitambo kuwa mambo yake yamekwenda vizuri kuliko hata yeye mwenyewe alivyotegemea?.. Sasa hivi yuko busy na mipangilio ya nyumba yake mpya..
Vipi, hatimaye umekubaliana na masharti uliyopewa, au mkuu umegalambuka?
Vipi, hatimaye umekubaliana na masharti uliyopewa, au mkuu umegalambuka?
nakuunga mkono. Binafsi nilikuwa kama wewe. Sikuwa na weekend wala wikienda. Ilikuwa ni ulabu kila siku. Ila sasa nimepunguza. Nakunywa jumamosi tu tena kidogo, na pia pale ninapokuwa out. Ila kuacha ni ngumu. Nashauri utangaze kupumzika.
Lete thread husika dada!...Hata kama ni PM i'paste hapa!
Hatutaki kumwonea mtu hapa...
asanteni sana wapendwa kwa maombi yenu, ni kweli nimepotea kidogo, nina majukumu mengi ofisini na haya ya kuiandaa my dream home! hadi sasa kila kitu kinaenda vizuri kama nilivyokuwa nikiomba na uwepo wa Mungu katika mchakato mzima ni over 100%! muda si mrefu nitakuja na habari kamili. nawashukuruni sana kwa kuungana nami muda wote huu kwa maombi bila kuchoka.
naomba atakayepata nafasi aburudike na wimb wa Upendo Kilahiro uitwao UNAJIBU MAOMBI
Mungu awabariki sana
Glory to God!!
Hii nakumbuka alijibu week moja kama si kosei kabla ya tarehe yenyewe aliyosema, ndo maana hapo alihaidi muda si mrefu atakuja kutuhabarisha..tokea hapo kapotea hatukumuona tena.!!Alijibu hivi: