Mchumba wa Miss Judith!


Kaka maandiko yanasema "Kwa Mungu siku moja ni sawa na miaka Elfu"

Sasa piga hesabu kama hizo siku 30 zilikuwa ni kwa calculation za Kiroho. Lazima magoti yaote sugu!!
 
Aliijibu 6th June. Rejea bandiko lake kwenye post no. 544.
Namnukuu:
SoUNDS like some kind of delaying tactics ili watu wasahau!...Tusubiri hata lini?
SO , NOW WHATS THE WAY FORWARD?...
 
Asanteni, kama ni kweli basi jamvini kunalipa sana.
 
aaaaaaaaaaaaiiiiiiiiiii!!!!! unamtaka wewe??? teh teh teh

Is she reall y still available au wataka tutwange maji kwenye kinu...................
 
Harusi sasa ni december au November? :]
 
Pj babu waloliondo amekusabishia sababu ya kumpenda Mis Judy bila kujua.
 
Tunasubiri huo ubwabwa,msijetusahau mambo yakiwa tayari.
 
Pj babu waloliondo amekusabishia sababu ya kumpenda Mis Judy bila kujua.
Ni kweli, nampenda sana huyu binti pamoja na tatizo lake la kujua mno!
Ningekuwa naoa leo ningembeba hivyohivyo nifaudu jinsi anavyofanya maujuvi yake akiwa chumbani!
 
paka jimy umenikumbusha mkuu....kweli tunasubiri feedback.......lakini pia hapo katikati ulitokea mushikeli mkubwa sana kati yake na familia ya upande wa pili( kwa mchumba)
Mh Edson, si ungeuchuna tuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 

ha ha ha, PJ bana. Kumbe bado umeifungia mkanda hii issue ee? lol!...haya, acha nipitie post moja baada ya nyingine hapa.

 
Mchumba aliingia mitini teh! Nasikia Alipotelea Loliondo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…