Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii habari mbon huu mwaka wa 2 sasa [emoji16][emoji38]
Thats niceGraduation ya cpa ilikuwa last week. Ndio ametajwa kama best student na kupata mazawadi na ajira kapata kampuni kibao achague yeye aende ipi?
Sasa hiyo ya miaka miwili nyuma imetokea wapi?
Huyu naye ni celeb? Anahusika na nini?Pisi kali with brain inapendeza sana.
Wale wa tuma na ya kutolea jifunzeni kwa mwenzenu.
Mitihani ya CPA sio ishu ndogo. Mrembo anastahili pongezi
Shule hazikuwekwa kwa madhumuni ya watu kufeli, hizo ni roho mbaya.CPA ilikua zamani, enzi za kina Mzee Ludovic Utouh pale NBAA,sasa hivi kila mtu anapata tu! Watu siku hizi wanapiga single sitting na wanatoboa!
Wewe ni mmoja wa wale wazee wa NBAA wenye sura ngumu na roho mbaya.CPA ilikua zamani, enzi za kina Mzee Ludovic Utouh pale NBAA,sasa hivi kila mtu anapata tu! Watu siku hizi wanapiga single sitting na wanatoboa!
Ndio nashangaa huyu demu yeye kila mwaka ni best student tu?Hii habari mbon huu mwaka wa 2 sasa [emoji16][emoji38]
Kama unafuatilia habari huyu demu alishatangazwaga mwaka jana hata mie hii habari naona imejirudia tena ina maana kila mwaka anasomaga CPA huyu demu au ya sasa ni IPSAS?Graduation ya cpa ilikuwa last week. Ndio ametajwa kama best student na kupata mazawadi na ajira kapata kampuni kibao achague yeye aende ipi?
Sasa hiyo ya miaka miwili nyuma imetokea wapi?
Nafikiri alikuwa best student May 2020 kwa intermediate level, means November akasit kwa final level.Ndio nashangaa huyu demu yeye kila mwaka ni best student tu?
Oh na intermediate level wanapewaga vyetu na wanatangazwaga humo? Au sababu ni best?A
Nafikiri alikuwa best student May 2020 kwa intermediate level, means November akasit kwa final level.
Sasa graduation ya 2020 ndo imefanyika juzi October 2021.
Ukiwa best student siku ya mahafali unaitwa kutangazwa na kupewa zawadi.Oh na intermediate level wanapewaga vyetu na wanatangazwaga humo? Au sababu ni best?
Kama unafuatilia habari huyu demu alishatangazwaga mwaka jana hata mie hii habari naona imejirudia tena ina maana kila mwaka anasomaga CPA huyu demu au ya sasa ni IPSAS?
Sawa kwahio anatangazwa kabla hata ya muda wa ku graduate? Au wanapo graduate na wale wa Intermediate waliopasua wanatangazwa?Ngoja nikueleweshe
CPA exams zipo sitting mbili kila mwaka ie mwezi wa tano na mwezi wa 11, kila matokeo yanapotoka waliofanya vizuri huwa wanakua published kwenye ile article ya matokeo.
Kwa wale wanaomaliza mwezi wa tano huwa wanagraduate pamoja na wale wa mwezi wa 11 wa mwaka uliopita pindi ifikapo mwezi wa kumi.
Kwa maana iyo Joan yeye atakua alimaliza CPA mwezi wa 11 mwaka jana na ndio amegraduate mwezi wa kumi mwaka huu. Upo baba[emoji44]
Nye siyo kwamba mnamzungumzia Chemical ? Yule dem rapper wa arachuga ,maana yeye ndo mwaka jana alitangazwa best studentKama unafuatilia habari huyu demu alishatangazwaga mwaka jana hata mie hii habari naona imejirudia tena ina maana kila mwaka anasomaga CPA huyu demu au ya sasa ni IPSAS?
Kuna wakati tuliambiwa ni best student na anafaa kuwa CAG , aisee au anamendea uwaziri wa Fedha mana sa hv nchi ipo kwenye auto-pilot lolote laweza kutokea ...!!! Ila Mzee wa Majalalani alifanya yake 😊Ndio nashangaa huyu demu yeye kila mwaka ni best student tu?