Said nasrym
Member
- Feb 23, 2019
- 37
- 14
Awe mnene kias mweupe,umri miaka 24 mpaka30 umri wangu 32 Nina kazi ya kuniingzia kipato msomi kidogo km upo tayar please PM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Single mothers ndo wamejaa humu na sijaona pahala ukigusia hiloAwe mnene kias mweupe,umri miaka 24 mpaka30 umri wangu 32 Nina kazi ya kuniingzia kipato msomi kidogo km upo tayar please PM
Dah hata single mam poa tu jaman ladies jitokezeniSingle mothers ndo wamejaa humu na sijaona pahala ukigusia hilo
Sweet16 mi nikajua utani PM jamani nipo serious kweli I need someone kwa maisha niliyobakiza hapa dunian ingawa sio jambo zur kutafuta mtu mtandaoni lkn kwa uzoefu wangu humu watu wapo serious kweli ingawa wengine tukidhan ni utani tuHii emergency km ya mgonjwa kuishiwa damu hii kweli wacha tuone
Kumbe wanakisa kuja bhenyewe PM ee??? Apo utarokota dem afu baada ya muda mtakuja kudhalilishana umu sie tunacoment tuJamani nitumie namba nitawapigia nashindwa kutumia PM kujibu SMS please
Ayayayaaaaa ndo nini kuja kutangaziana humu kina nan wamekufuata pmBrightwomen nimeona PM yako lakini nashindwa jins gani naweza kukujibu yan sijui jins ya kutumia pm please nitumie namba yako nitakupigia tafadhali
Brightwomen nimeona PM yako lakini nashindwa jins gani naweza kukujibu yan sijui jins ya kutumia pm please nitumie namba yako nitakupigia tafadhali
Weusi umenikosesha mme [emoji41]