Mchumba wangu ameniuliza "Lowassa ndio nani?"

Watu aina hiyo ni wasumbufu sana huko mbeleni wakibadilika tabia huwa hawaambiliki.

Kingine huyo angemaliza miaka ya nyuma hata hiyo 3 asingeipata anaonekana ni kilaza mno, sijui hiyo Civics alikuwa anapata ngapi kama jambo dogo tu hilo anashindwa kulijua.
 
Huyo ndo mwanamke wa kuoa sasa, sio kila kitu awe anajua unakuta mwanamke hadi unabishana nae kuhusu mpira na akakupinga kwa hoja sasa ndo mwanamke gani huyo wa kuwa nae
Nenda kasikilize wimbo wa prof jay na feruzi unaitwa nikusaidiaje.
 
Zao la BRN hilo na one za mchongo.
 
 
Mle tiGo sepa, usioe
 
Wait kwahiyo huyo binti pamoja na sifa zote hizo, ila kutokumjua Lowassa tu ndio ukataka usitishe kumuoa hadi ukaamua kuja kuanzisha Uzi humu, kwamba wewe mwenzetu unataka mwanamke mkamilifu katika kila nyanja siyo
 
Hongera kwa kupata mchumba muimba kwaya aliye kwenye kikundi cha maombi church bila shaka atakua bikra mkuu[emoji4]
Kuhusu mambo ya wanasiasa utamchanganya huyo muulize habari za mitume na wake za manabii tu
Daha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…