Dah...unamshibisha lakini?? πππNimeona niandike uzi huu usiku huu,leo mchana kutwa Nilikuwa nikiwaza! Mara ya mwisho aliniuliza una mpango gani na mimi? Kumbe yupo humu anatafuta mchumba ,vigezo alivyotaja vyote ndio ninavyo mimi...Huyu mchumba jamani mkataeni arudi kwangu,mwezenu sijalala leo....Kinachoniumiza ni yule chura tu.
Mwanamke hatunzwi na vibaruHuyu jamaaa muongo
Na km kweli basi huyo chura ataonwa na WACHINA