Mchumba wangu hataki hata kumgusa

Mchumba wangu hataki hata kumgusa

Deelb

Member
Joined
Jul 29, 2022
Posts
21
Reaction score
22
Habari za mchana wana Jf,


Iko hivi..nimekuwa kwenye mahusiano na mdada flani hivi huu mwaka wa pili sasa ila sasa pale napotaka kumkumbatia ananiwekea kizuizi hataki hata nimguse nikimuuliza kwanini anajibu ana mashetani kichwani yanamsumbua


Sasa mimi baada ya kuona vituko vyake vinazidi nikaamua kutongoza kademu hivi kamahitimu form4 mwaka jana kwa bahati nzuri kalikubali nilipoomba mbunye nikatunukiwa nami nikala tunda kwa kupoza maumivu

Mchumba wangu alipoona nimepunguza mawasiliano akaanza kulalamika nimembadilikia nimekuwa shetani,,mi nikamwambia nimetongoza demu mwingne maana unanisumbua tu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hii nchi Uhuru umezidi.
 
Habari za mchana wana Jf,


Iko hivi..nimekuwa kwenye mahusiano na mdada flani hivi huu mwaka wa pili sasa ila sasa pale napotaka kumkumbatia ananiwekea kizuizi hataki hata nimguse nikimuuliza kwanini anajibu ana mashetani kichwani yanamsumbua


Sasa mimi baada ya kuona vituko vyake vinazidi nikaamua kutongoza kademu hivi kamahitimu form4 mwaka jana kwa bahati nzuri kalikubali nilipoomba mbunye nikatunukiwa nami nikala tunda kwa kupoza maumivu

Mchumba wangu alipoona nimepunguza mawasiliano akaanza kulalamika nimembadilikia nimekuwa shetani,,mi nikamwambia nimetongoza demu mwingne maana unanisumbua tu

Wanawake wa dizaini hiyo mnawatoaga wapi
 
Usingemjibu hivyo ungehakikisha unamtia kisha unampiga chini
nilikuwa nikiomba mbunye ananipa kinyonge sana kama hataki vile mi nikaona usumbufu

mi nikaamua kuanza kufukuzia demu mwingine kimyakimya japo cku ya kwanza tu kuanza kukafukuzia haka kademu kapya ndo cku ambayo alinihisi akasema nimebadilika gafla nimekuwa shetani...mi.nikamwambia kila kitu kipo sawa ila mi nikaendelea kukamendea haka kademu kapya ilipoisha tu radhamani nikapewa utamu nikala tunda changamoto iliyopo haka kademu kapya kameelewa shoo alaf huyu demu wangu wa zamani nae hataki tuachane
huyu demu mpya kuna cku aligundua kuwa mi nina mwanamke mwingine mi nikamjibu ndio ni mchumba wangu ila anazingua sana ,,

imefika kipindi huyu demu wangu mpya wakati mi niko bize nachat nae nae yuko bize anachat na mchumba wangu na yote wanayochat ananifikishia mm,ila huyu mchumba wangu ananipeleleza sana ili ajue kama bado nawasiliana na kale kademu kangu
 
Back
Top Bottom