miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
nimeongea ukweli tu aiseeKhaa!! Yay!!
Si kweli usemavyo.
Kuna vitu ambavyo ni obvious.
Mazingira mengine ya kazi yanatia wasiwasi.
Sikubaliani na hilo hizo nifikra kivuli,kwanza hata angempeleka wapi kama demu kazoea kugawa atagawa tu, na kwanini ahisi Kuchapiwa asihisi vingine? kwani hiyo papuchi imekua sabunu kuwa ikitumiwa inaisha agaaah
@bavaria mazingira ya kutia wasiwasi ni wapi hayapo?
Nina maumivu sana saivi na nimeelewa ulichomaanisha. Nikipoa nitaleta mrejesho wa thread yangu hii ila niko hoi bin taabin siku ya 5 leo.Hapo kaka.........sema na moyi wako......mi ningepewa nafasi ya kusahihisha nilipokosea.....kamwe usioe mwanamke kisha umpeleke shule/chuo.....lazima watagalagaza tu trust me.......kama unamzimia mbaya vumilia ila usijidanganye...ombaga asipste na mimba......na kama kiuchumi uko njema so sweat....ila kama na pesa ndo lofa mwenzangu....anza upya jomba....kwanza kitendo cha kukusaliti kashakuonyesha kwenye dili mlilopanga.....akiombwa utamu na boss wake atakataeje...nangekuwa anakupenda angekusikia na angeachana na huo mpango..
Mkuu subiria mrejesho wangu wiki hii kwa kweli demu ni demu si wa kumwamini hata kwa 25%. Ameniumiza sana huyu binti.Tegemea changes kubwa sana ukionana nae tena baada ya kurudi depo..kama unampenda kweli utamvumilia kwa mabadiliko hayo..kwa ushauri usimuweke moyoni kwa 100%..relax mchukulie poa tu..depo kuna mambo mengi sana ambayo.mwanamke yoyote hawezi kuyavumilia ndugu.trust me yani jua huyo mwanamkr sio yule tena ni mtu tofauti kabisaaaaaa..UTAKUJA NIAMBIA
Kuna mrejesho?
unazidi kumtia presha mwenzio..MWANDENDEULE hapa town nikiamka saa kum na moja nawakuta barabani wanapiga mchakamchaka na kuimna nyimbo kama hawana akili nzuri!!! Kwa wanavyodau kuamka ni saa nane usiku saa tisa tizi inaanza duuuuuhh yan nawaoneaga huruma!!! Kuna mmoja nilimuona anaachwa nyuma kila siku sijui ndo demu wako????? Kwa kifupi akimaliza jiandae kushika adabu...maana ukileta ujinga utakuta unapigwa makofi na virungu mbele za watoto!!
Ishakuwa keki ya Taifa kumegwa lazima japo si lazima..Acha wenzako wajilie keki tafuta mwingine
Amani iwe nanyi.
Ndugu zangu nimeona vyema nije kwenu mnipe msaada wa kimawazo kwani nimechanganyikiwa kabisa hata usingizi sijapata usiku wa leo hii ni baada ya kupokea text kutoka kwa mpenzi/mke wangu mtarajiwa kuwa yuko moshi chuo cha polisi kitu ambacho kwa kweli sikutaka aende huko badala yake akasome chuo kozi yoyote ambayo angependa mwenyewe kutokana elimu yake (kidato cha nne).
Kaenda CCP bila kuniaga japokuwa najua alifanya usaili na kapata nafas ila baadae tulikaa tukakubaliana nimtafutie chuo na kweli nikafanya hivyo na chuo nikawa nimepata na alitakiwa aripoti chuo jumatatu (14/09/'15). Wakati mimi nafanya maandalizi yake ya kwenda chuo aliniaga aende kumuaga shangazi yake Mwanza nikamruhusu, cha ajabu amefika huko (nilivyokuwa naamini kaenda mwanza) kawa hapatikan hewani mimi nikajipa matumaini kuwa ni tatizo la chaji kwa kuwa sehemu nyingi zinakabiliwa na kukatika katika kwa umeme nchini.
To my surprise, usiku wa leo nikapata sms kutoka namba ngeni ila nikajua ni yeye kwani niko nae yeye pekee, baada ya kuchati nae kidogo kaniaga akisema, " kwa heri baby, kuwasiliana hadi mwakani"Sikujali maneno yake ila karudia tena kusema ndo nikamwuliza kulikon akaanza kwa kuomba msamaha kisha akasema, "niko Moshi CCP". Nilihisi kuchanganyikiwa na siko vizuri kimawazo saivi kwani sina imani kama atarudi salama baada ya mafunzo.
Ndugu, naomba mnipe mwanga kuhusiana na usalama wa watoto wa kike huko chuoni na uwezekano wa raia wa kawaida kumwoa askari kama huyo. Au ndo nianze mchakato wa kumtafuta mrithi wake? Kingine askari anaruhusiwa kuolewa baada ya mda gani tangu ahitimu mafunzo ama aanze kazi?
Usmpe matumaini huyo jamaa,kifupi huyo mwanamke hafai tena hana adabu,unanidanganya unaenda kwa shangazi halafu unaenda sehemu ingine,na tulishakubaliana kazi ya polisi hapana,sasa nikikuoa si utakuwa unanidanganya naenda saloon kumbe unaenda kuniletea ukimwi,uongo ni moja ya sababu kuu ya kuvunja uhusiano,.,.,..perioooooood.Hiyo ya kuolewa sijui....
Ila kama hofu yako ni kumegewa hata angeenda chuo kingine kama mwenyewe akiamua kumegwa angemegwa tu
Wewe ndio unamjua mpenzi wako...hofu ya nini??