076228041Mkuu, naomba contacts zake nimsalimie kidogo.
Inategemea na utashi wako......Usmpe matumaini huyo jamaa,kifupi huyo mwanamke hafai tena hana adabu,unanidanganya unaenda kwa shangazi halafu unaenda sehemu ingine,na tulishakubaliana kazi ya polisi hapana,sasa nikikuoa si utakuwa unanidanganya naenda saloon kumbe unaenda kuniletea ukimwi,uongo ni moja ya sababu kuu ya kuvunja uhusiano,.,.,..perioooooood.
Hofu ni kutmbewa? Hata angeenda konventini kama ni wa kuliwa ataliwa tu relax
askari anaolewa baada ya miaka mitatu kazini, hongera mme wa afande
Swala la kumegwa ni issue ingine bhana,wanamegwa masister au watawa wa kanisani itakuwa hilo kandemba?,mimi nimesema amfukuze na vibao juu,sio kwa sababu ya kujiunga polisi,mwanamke muongo hana haya anaaga anaenda kwa shangazi,kumbe yuko Moshi depot,huyo hafai,siku akimuoa atakwenda kukazwa na atamletea ukimwi, na kumwambia nilikuwa kwa dada.MAZA FAKA BLOOD KICHECHE,.Inategemea na utashi wako......
Hata asingeenda polisi kama akiamuankumegwa atamegwa...akiamua asimegwe hatomegwa
Amehitim ndio ila kaniumiza sana dakika za mwishoni yaani siku 3 tu kabla ya kula kiapo. Na hapo alikuwa ametumia mapesa yangu mengi sana kwa gharama za msosi na mambo mengine huko hata sare zake. Nitaleta mrejesho nipoe kwanza mkuu maana hapa niko hoi kisaikolojia msosi haupandi nakula ila sishibi na njaa sisikii wala kiu toka 22/06/2016 nilipoongea na boya wake mmoja hivi huko "SESEPI"Bila shaka saivi kashahitimu mafunzo CCP, wewe umeamuaje awe mke au unamtosa?
076228041
Nitawaletea kesho nipo naandika saiviMkuu wamemaliza tayari mafunzo.tupe mrejesho
Sawa sawa mkuuNitawaletea kesho nipo naandika saivi