Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Sio mimi jamani nasikiliza redio ya mama rwakatare watu wanasema shida zao ili waombewe
kuna dada anaitwa katherine wa tegeta anaomba maombi yenu ameporwa mchumba wke na
binti wa kichaga msilamu ataki hata kumsikia ameomba ajitahdi hata awe anaenda nae tu kanisan kama kawaida anamkatia simu
utamsaidiaje huyu mwenzio alale na amani mpaka ameweka kwenye redio yamemkuta kweli kweli bahati mbaya nimeshindwa kukumbuka namba yake ningetaka kumuuliza mchaga anatoka kilimanjaro sehemu ipi maana kuna ngome zingine aziguswi unaweza fwatilia ukaishia kurudishwa na double coaster kwenu full kilio
msaada jamani
kuna dada anaitwa katherine wa tegeta anaomba maombi yenu ameporwa mchumba wke na
binti wa kichaga msilamu ataki hata kumsikia ameomba ajitahdi hata awe anaenda nae tu kanisan kama kawaida anamkatia simu
utamsaidiaje huyu mwenzio alale na amani mpaka ameweka kwenye redio yamemkuta kweli kweli bahati mbaya nimeshindwa kukumbuka namba yake ningetaka kumuuliza mchaga anatoka kilimanjaro sehemu ipi maana kuna ngome zingine aziguswi unaweza fwatilia ukaishia kurudishwa na double coaster kwenu full kilio
msaada jamani