Na bado. . .
Na bado. . .
Mkianza kumuombea huyo juu jamani msiache kumuombea huyu binti ameomba maombi yenu anaitwa rahel anasoma hedaru sec baba na mamake wamefariki jana kwa ajali wakiwa wametoka kumuacha shule amezika leo...nimeomba sana mungu ampe nguvu na uvumilivu jamani ni ngumu kuzika wazazi wote wakati mmoja......
Ukiwa na maombi tune 99.2 usiogope utaji ama kuulizwa jina tunachukua shida zako tunakuombea na kuomba wana jf wakuewek mikononi mwa mungu
kila siku na kipindi muhimu sana sana pengine unaweza funguka kupitia watu wengine ukakuta kumbe shida yako ndogo sana na unaweza kuisolve kirahisi
Didy jamani embu tuache wachaga tupumue hata kidogo,please its good for our health,
Amuulize kwanza Mungu kama huyo ndo wake alompangia,pengine hayakuwa mapenzi ya Mungu,kama ni wake awe mvumilivu na azidishe sala tu Mungu wa miujiza atamrudisha....sometimes tunalilia na kung'ang'ania waume za watu kumbe hawakuwa kwa ajili yetu...lol:A S-coffee:
hawa tunakwenda nao sawa tu mpenzi, wataelewa tu!
Mhh!!!!
Atakaa sawa tu, si wanasema sie magogo?? sasa let her watch the movie...lol....hatutanii siku hizi kyekue!!
Mkianza kumuombea huyo juu jamani msiache kumuombea huyu binti ameomba maombi yenu anaitwa rahel anasoma hedaru sec baba na mamake wamefariki jana kwa ajali wakiwa wametoka kumuacha shule amezika leo...nimeomba sana mungu ampe nguvu na uvumilivu jamani ni ngumu kuzika wazazi wote wakati mmoja......
Ukiwa na maombi tune 99.2 usiogope utaji ama kuulizwa jina tunachukua shida zako tunakuombea na kuomba wana jf wakuewek mikononi mwa mungu
kila siku na kipindi muhimu sana sana pengine unaweza funguka kupitia watu wengine ukakuta kumbe shida yako ndogo sana na unaweza kuisolve kirahisi
kwa kweli na hivi sa hz tumeshafunga biashara kyekue ni mahali tumepumzika lazima tuende nae,
Huyu nitamuombea. Mungu alaze roho ya marehemu mahala pema (Inna lilahi wa Inna illahi rajjun).Mkianza kumuombea huyo juu jamani msiache kumuombea huyu binti ameomba maombi yenu anaitwa rahel anasoma hedaru sec baba na mamake wamefariki jana kwa ajali wakiwa wametoka kumuacha shule amezika leo...nimeomba sana mungu ampe nguvu na uvumilivu jamani ni ngumu kuzika wazazi wote wakati mmoja......
Ukiwa na maombi tune 99.2 usiogope utaji ama kuulizwa jina tunachukua shida zako tunakuombea na kuomba wana jf wakuewek mikononi mwa mungu
kila siku na kipindi muhimu sana sana pengine unaweza funguka kupitia watu wengine ukakuta kumbe shida yako ndogo sana na unaweza kuisolve kirahisi
Hehehehe ndo maana nimesema na bado dearest, maana kila siku ohhh "siwataki" "wao pesa tu" "magogo kitandani" na bado wanachukuliwa mikononi kwa wapenzi wao.
Imagine mtu anapiga simu anaomba eti aombewe kaibiwa mchumba na binti wa KICHAGGA, kuna uhusiano gani kati ya kuwa mchagga na kumuibia mchumba wake?? ukabila....ataelewa!:washing: