saidikobelo
Member
- Oct 28, 2018
- 75
- 25
Sio hivyo kumbe sifa hizo humu hamna jamani haya napunguza taja ulizonazo nione nakupa nafasi ganiSaidi kobela anahitaji mchumba awe kama malaika. Siye mashetani hatuna nafasi hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafadhari usiwafananishe binaadam na mashetaniSaidi kobela anahitaji mchumba awe kama malaika. Siye mashetani hatuna nafasi hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] mtunuku jamaaSaidi kobela anahitaji mchumba awe kama malaika. Siye mashetani hatuna nafasi hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi mzuriiiii, mweupe pee, chini hadi juu nimekamilika,Sio hivyo kumbe sifa hizo humu hamna jamani haya napunguza taja ulizonazo nione nakupa nafasi gani
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Mimi mzuriiiii, mweupe pee, chini hadi juu nimekamilika,
Naogopa nisije pambana na malaik Wengine huko kijijini kwenu.wewe lima mahindi, maharagwe,mpunga niletee uwe unakuja dar na kurudi kijijini kwenu. [emoji1][emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ndo maneno unakazi gani mjiniMimi mzuriiiii, mweupe pee, chini hadi juu nimekamilika,
Naogopa nisije pambana na malaik Wengine huko kijijini kwenu.wewe lima mahindi, maharagwe,mpunga niletee uwe unakuja dar na kurudi kijijini kwenu. [emoji1][emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app