Mchumba

Mchumba

sam0309

Member
Joined
Aug 11, 2012
Posts
9
Reaction score
0
Am Johnson, nina miaka 32, elimu ya chuo kikuu,ni mwajiriwa.
Nahitaji mchumba mwenye sifa zifuatazo;
1. Elimu; kuanzia kidato cha nne
2. Mwonekano; asiwe mwembamba sana, mfupi sana, wala mrefu sana.
3. Dini; yoyote.

Anaehisi ana vigezo hivyo hapo juu, tuwasiliane kwa jsam0309@gmail.com
 
Umepata ndugu, je unaweza kuwa baba kambo wa watoto wangu hawa 3 maana nina vegezo hapo juu
 
Umepata ndugu, je unaweza kuwa baba kambo wa watoto wangu hawa 3 maana nina vegezo hapo juu

U aint serious. Last tym u sed umetoa mimba kadhaa.. Leo una watoto watatu. Mmmmmmh

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
32 yrs bado una akili za kitoto huwezi kupewa mke
 
Afadhali manake kila mwaname ninayemwambia am masonic ananikimbia niambie nitakupataje mume wangu mtarajiwa.ni.pm.please
 
nina dada yangu ana watoto 3 ,ila ana miaka 23 kama uko tayari nitext kwenye PM....ansifa ulizotaja
 
Back
Top Bottom