Hapo kwenye "red" ni nini mkuu?
Fidel80 sprite waliishakwambia TII KIU YAKO
Basi naombeni msaada nimpate mchumba mwingine niachane na huyu wa kunipiga mizinga2.ila awe mschana mkristo mwenye kumjua mungu umri uwe miaka 20-25.tuwasiliane kwa email(salawaps@yahoo.com).
Huyo ambaye sio mcha Mungu ulijitafutia mwenyeweBasi naombeni msaada nimpate mchumba mwingine niachane na huyu wa kunipiga mizinga2.ila awe mschana mkristo mwenye kumjua mungu umri uwe miaka 20-25.tuwasiliane kwa email(salawaps@yahoo.com).
Uvivu na uwoga ndo unamsumbua....anaishia kukamata vitoto vya uswahilini vinavyouza sambusa@!Hapo sasa umeharibu huko mtaani hakuna wasichana?
basi naombeni msaada nimpate mchumba mwingine niachane na huyu wa kunipiga mizinga2.ila awe mschana mkristo mwenye kumjua mungu umri uwe miaka 20-25.tuwasiliane kwa email(salawaps@yahoo.com).
Uvivu na uwoga ndo unamsumbua....anaishia kukamata vitoto vya uswahilini vinavyouza sambusa@!
mmmh,humu ndani watu mna maneno,kwani wa uswahilini sio watu jamani.pengine hawakupenda kuishi uswahilini ila ndio maisha.Uvivu na uwoga ndo unamsumbua....anaishia kukamata vitoto vya uswahilini vinavyouza sambusa@!
Basi naombeni msaada nimpate mchumba mwingine niachane na huyu wa kunipiga mizinga2.ila awe mschana mkristo mwenye kumjua mungu umri uwe miaka 20-25.tuwasiliane kwa email(salawaps@yahoo.com).
Mkuu huujui ukakasi? vitu vinakuwa vimegandamana lazima utafute kidumu uchuje.
Je kuwa na mchumba ambaye kazi yake ni kubeep na kuomba vocha2 na hata ukimtumia anaishia ku2ma msg ya thanks,je huyu atakuwa mchumba wa kweli?.:violin:
Je kuwa na mchumba ambaye kazi yake ni kubeep na kuomba vocha2 na hata ukimtumia anaishia ku2ma msg ya thanks,je huyu atakuwa mchumba wa kweli?.:violin:
Ngoja niwasiliane na Baraza la Kiswahili nione hii misamiati kwanza
Je kuwa na mchumba ambaye kazi yake ni kubeep na kuomba vocha2 na hata ukimtumia anaishia ku2ma msg ya thanks,je huyu atakuwa mchumba wa kweli?.:violin:
Basi naombeni msaada nimpate mchumba mwingine niachane na huyu wa kunipiga mizinga2.ila awe mschana mkristo mwenye kumjua mungu umri uwe miaka 20-25.tuwasiliane kwa email(salawaps@yahoo.com).
Je kuwa na mchumba ambaye kazi yake ni kubeep na kuomba vocha2 na hata ukimtumia anaishia ku2ma msg ya thanks,je huyu atakuwa mchumba wa kweli?.:violin: