Mchumba'ke amedumu nae...lakin mke'ke mwei tu!

PSYCHOLOGY

Senior Member
Joined
Feb 10, 2011
Posts
177
Reaction score
14
Habari JF!
Hii inakuaje?
Jamaa haishi kuwabadili wachumba lakin mke akioa ni mwezi utasikia ametengana nae! Anatatizo gani huyu?
 
Ndo nini hii, wewe nahisi umeishia darasa la 3
<br />
<br />
Enzi za mkoloni.
Hapo umenchekesha kweli....bado una mawazo mabofu kabisa ...cjui uelewa wako unatumia kipimo gani? Unatia aibu kwa kajiswali kako!
Ningeandika kwa kizungu ungesemaje pia?
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Enzi za mkoloni.<br />
Hapo umenchekesha kweli....bado una mawazo mabofu kabisa ...cjui uelewa wako unatumia kipimo gani? Unatia aibu kwa kajiswali kako!<br />
Ningeandika kwa kizungu ungesemaje pia?
<br />
<br />
mwanzo nilidhani umejisahau. Unazidi kuandika upupu. Nadhani hata hilo darasa la 3 haujafika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…