mchumma

sadikikefa

New Member
Joined
Jun 28, 2012
Posts
1
Reaction score
1
hi guys,,nataka mchumba wa ukweli ,me ni real person na nina hitaji kweli awe wa kike, miaka 19 mpaka 29, cause mie ni 26, niko zenji and my number hii hap
a kwa atakaye taka 0774641791, pia niko facebook.
 
vp wa kukucameroon hutaki coz nyie wazenji mashallaah!
 
hi guys,,nataka mchumba wa ukweli ,me ni real person na nina hitaji kweli awe wa kike, miaka 19 mpaka 29, cause mie ni 26, niko zenji and my number hii hap
a kwa atakaye taka 0774641791, pia niko facebook.


Bora umekuwa wazi kwani ndio huko tena!
 
Isukume thread yako 'love connect'
Best wishes mkuu.
 
hi guys,,nataka mchumba wa ukweli ,me ni real person na nina hitaji kweli awe wa kike, miaka 19 mpaka 29, cause mie ni 26, niko zenji and my number hii hap
a kwa atakaye taka 0774641791, pia niko facebook.

hapo kwenye red hivi kuna wasiokuwa real person eeh!

na je jinsia ya kike iko mara mbili? ya kweli na ya uongo?

mmh! jamani niambie mimi ni jinsia yangu ni ya kweli ama uongo? Kongosho njoo nipe shule aisee.
 
Last edited by a moderator:
gfsonwin, wewe ni fake person naona lol

Hujawahi kutana na mwanamke anazo 2?
 
Last edited by a moderator:
gfsonwin, wewe ni fake person naona lol

Hujawahi kutana na mwanamke anazo 2?
 
Last edited by a moderator:
gfsonwin, wewe ni fake person naona lol

Hujawahi kutana na mwanamke anazo 2?

jamani leo niko kwa ofsi sitaki fujo kama ya jana lol! yaani Kongosho nimejikuta natibua watu wote kwa kicheko lolest! jf idumu milele lol
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…