Mchungaji aliyedai kuvunjiwa Kanisa Zanzibar afunguka. Serikali yatangaza kumsaka, yasema ni nyumba siyo Kanisa

Walokole hawajui mafundisho yoyote ya Biblia, wanachojua ni kupiga kelele kwenda mbele
mchungaji akihubiri kidogo tu dj anasindikiza na tetema na wakitoka kanisani wanaanza minada. yaani wenyewe tangu wadogo wamekalilishwa kutoa sadaka,kwenda mbinguni na moto wa kuzimu nje ya hapo hamna kitu wanajua..
 
Dah ifike mahali sisi waafrika tujitambue kwa kweli,tusije gombana kwa dini za kuletewa
 
Wanadamu wangefahamu kuwa amri kuu kuliko zote ni upendo wasingegawanywa na dini.
 
Mkuu kuhusu hiyo namba 4 halina utata kabisa, Ni kweli Zanzibar kuna Wakristo wengi ila majority yao ni wahamiaji. Wakiristo wa asili kwa maana ya wale wanaotambulikana kama ni wazanzibari wakichanganyika na wahindu hawawezi kufika hata asilimia 1.
Sawa ni wahamiaji kwani hawaingii katika idadi ya wazanzibari wakaazi kwa wale ambao wana zaidi ya miaka mi5 ?
 
Mkuu kuhusu hiyo namba 4 halina utata kabisa, Ni kweli Zanzibar kuna Wakristo wengi ila majority yao ni wahamiaji. Wakiristo wa asili kwa maana ya wale wanaotambulikana kama ni wazanzibari wakichanganyika na wahindu hawawezi kufika hata asilimia 1.
Sawa ni wahamiaji kwani hawaingii katika idadi ya wazanzibari wakaazi kwa wale ambao wana zaidi ya miaka mi5 ?
 
Mbona uislamu unaenea kwa kasi ulaya ambako 90% ni wakristu na hawazuiwi kujenga misikiti na saa nyingine wanapewa mpaka makanisa ya zamani kuwa misikiti ili wapate haki yao ya kuabudu? Mwarabu aliwafanya nini ninyi?
 
Hivyo, imevunjwa kwa kuwa ni sehemu ya nyumba zilizokuwa hatarishi,
Uhatarishi wake ni upi mbona haujatajwa ? Kusema tu kwamba hatarishi haitoshi lazima ibainishwe huo uhatarishi ni upi ?

Ukishatajwa huo uhatarishi tunarudi sasa kwenye sheria je sheria inaelekeza kwwmba nyumba ikiwa na uhatarishi wa aina fulani ivunjwe ?
 
Na huyo mkuu wa wilaya ni kiongozi; tena ni mwanachama kindakindaki wa CCM; hata kusema uongo hawezi?

Hii CCM kweli imekuwa hasara kubwa ndani ya nchi hii.

Kero za Muungano zinazotoka upande mmoja tu wa muungano, hii ya makanisa kujengwa Unguja na Pemba, nayo ilisha orodheshwa na kupatiwa ufumbuzi; ambao ndiyo njia hii ya kuvunjwa kwa vile yanaharibu mazingira?
 
Huyo mkuu wa Wilaya mbona ana akili za kipumbavu namna hii,tangu lini mamlaka zinabomoa nyumba kisa mamlaka ya hali ya hewa imesema kwamba kutakuwa na mvua?

Halafu nyumba iliyobomolewa ni moja tu?kuna jambo limejificha hapo.

Reasoning yake yani hakuna correlation wala connectivity ya matukio…dah kaazi!
 
[emoji23][emoji23] kiukweli nimecheka.
Ila kwa nini na nyie mnapenda sana kulishana majini huko madrassa?
 
Pumbafu , huku bara tunahitaji wokovu, utapeli umekupeleka zanzibar, shangazi yako zumaridi anaozea jela
 
DC atakuja kuokoka na atatoa ushuhuda siku moja.
#KilaGotiLitapigwa_na_KilaUlimiUtakiri_YesuNiBwana.
 
[emoji23][emoji23] kiukweli nimecheka.
Ila kwa nini na nyie mnapenda sana kulishana majini huko madrassa?
Mkuu mi mkristo, siku moja jaribu kumuuliza maswali ya biblia mtoto wa walokole uone majibu yake.. yaani huko sunday skul ni mwendo wa step na mapambio ni tofauti na hata watoto wakisabato au wengne. fuatilia hata ratiba zao biblia inagusiwa kidogo sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…