Nchi za Wenzetu talaka haijabezi Upande WA dini ila ni suluhisho la kikatiba ili kuzuia mahafa kama hayaHapo ndipo umuhimu wa talaka unapokuja!
Nimekuja kugundua talaka wakati mwingine inasaidia sana kuondokana na madhara kama hayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi za Wenzetu talaka haijabezi Upande WA dini ila ni suluhisho la kikatiba ili kuzuia mahafa kama haya
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndio tofauti kati ya mkristo na muislam. Angekuwa huyo ni mwislam basi uislam wote ungeshambuliwaNaona wengi wana denied kua huyo sio mchungaji, bas tuseme ni ustadhi wa Madras
Huyo hakuwa mchungaji bali makamata fursa. Inawezekana walitofautiana jinsi ya kutumia sadaka na mafungu ya kumi.
Hapo ndipo umuhimu wa talaka unapokuja!
Nimekuja kugundua talaka wakati mwingine inasaidia sana kuondokana na madhara kama hayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndio tofauti kati ya mkristo na muislam. Angekuwa huyo ni mwislam basi uislam wote ungeshambuliwa
Lakini si ni mfuasi wa yesu?Ni mkenya bwana hahahaha
Sent from my iPhone using Tapatalk