Mchungaji anaswa akimtomasa muumini wake(video)

Huyu mwanamke inaonekana alikua anaumwa maeneo hayo na ndio maana akawa analalamika kuwa yanauma wakati pastor anayashika. Si unajua wakati unaombewa unatakiwa kushika au kushikwa sehemu inayouma
 
wanasema ile camera ilikuwa imetegeshwa bila ya mchungaji kujua.

Nina mashaka kama hiyo kamera ilikuwa imetegeshwa kwa sababu kuna muda position ya kushoot ina badilika, pia mwisho si unaona inamfuata dada anapokuwa anatoka mle ofisini!! Kwa mtizamo wangu hii ni movie...
 
Nina mashaka kama hiyo kamera ilikuwa imetegeshwa kwa sababu kuna muda position ya kushoot ina badilika, pia mwisho si unaona inamfuata dada anapokuwa anatoka mle ofisini!! Kwa mtizamo wangu hii ni movie...

Mmh cjui inawezekana mi nimeikuta youtube nimeileta humu.
 
Mchungaji alikuwa anataka kusafisha Nyota. She will get a job.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…