Mchungaji Gwajima azungumza kuhusu mapenzi ya jinsia moja

Mchungaji Gwajima azungumza kuhusu mapenzi ya jinsia moja

Kama mchungaji wa kanisa la ufufuo na uzima na mbunge wa jmt hana uwezo na ushawishi au attentive, askofu wa kikatoliki na wa kianglican akizungumzia ushoga atapewa attention kwa kuwa watakuwa wanazungumzia msimamao wa kanisa lao ulimwenguni kutoka vatican na cantebury. Anatoa maoni yake kama mtu binafsi asiyekuwa na ushawishi duniani. Tusubiri pasaka na iddi tutasikia misimamo ya makanisa mbalimbali na mashekh, maana mwaka huu mahubiri yatajikita zaidi kwenye mmomonyoko wa maadili. Wasiishie kwenye ushoga tu wazungumzie na wezi wa mali za umma/wadokozi wa fedha za umma
 
Viongozi wetu wanajua wanachokifanya,wanatutia umasikini makusudi ila baadae waje wakuite pembeni wajidai wanakupa mkopo ila shart uwe mmoja wao.
 
Haya mambo omba MUNGU ayaweke mbali na jamaa zako kwani ni aibu na fedheha sana
 
Dah jmn niombeeni nko na stress nmetoka masjid mida ya magharib kigiza ivi nakuta jamaa mwanaume kamuinamisha dume mwenzie kwenye uchochoro aisee kuona vile nahis swaum zang sidhan ka zitakubaliwa nmeona vitu vya ajabu leo dah
 
Dah jmn niombeeni nko na stress nmetoka masjid mida ya magharib kigiza ivi nakuta jamaa mwanaume kamuinamisha dume mwenzie kwenye uchochoro aisee kuona vile nahis swaum zang sidhan ka zitakubaliwa nmeona vitu vya ajabu leo dah
🤢🤢🤢🤢🤢🤢 🤧🤧😭😭😭
 
Huu mfupa ni mgumu kwa viongozi wa kidini kuutafuna kwa kuwa wengi wako chini ya makanisga makubwa duniani ambayo makao makuu yako ulaya na amerika ambako serikali za nchi zao zinaunga mkono mapenzi ya jinsia moja, ushoga na usagaji. Ni ngumu kutoa misimamo wako upande upi, labda watoe misimamo yao binafsi. Kwa gwajima aongee tu maana hana kanisa kubwa ulimwenguni na lenye mkuu wake aliyepo ulaya au amerika. Misimamo yake juu ya ushoga na usagaji ni kama yake binafsi na itaishia kanisani kwake dar. Labda apewe coverage kubwa kwenye media ili a trend nchi nzima ijue gwajima na kanisa lake hawataki ushoga na usagaji
 
Kama mchungaji wa kanisa la ufufuo na uzima na mbunge wa jmt hana uwezo na ushawishi au attentive, askofu wa kikatoliki na wa kianglican akizungumzia ushoga atapewa attention kwa kuwa watakuwa wanazungumzia msimamao wa kanisa lao ulimwenguni kutoka vatican na cantebury. Anatoa maoni yake kama mtu binafsi asiyekuwa na ushawishi duniani. Tusubiri pasaka na iddi tutasikia misimamo ya makanisa mbalimbali na mashekh, maana mwaka huu mahubiri yatajikita zaidi kwenye mmomonyoko wa maadili. Wasiishie kwenye ushoga tu wazungumzie na wezi wa mali za umma/wadokozi wa fedha za umma
Mkuu mbona askofu Rwaichi alisshasema kitambo siku amekutana na vyombo vya habari akiongelea pia na pugu marathon.
Huyo gwajima anaushawishi mkubwa sana refer mambo ya chanjo
 
Mumeelewa ngwajima anavyosema hapo
Unapotetea ushoga tukikuita shoga jivunie
Siyo utetee kitu ambayo wewe mwenyewe hufurahii kuitwa hivyo
Ushoga ni tatizo la kutengeneza ndiyo maana tunalipinga watoto wetu wanaharibiwa

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Dah jmn niombeeni nko na stress nmetoka masjid mida ya magharib kigiza ivi nakuta jamaa mwanaume kamuinamisha dume mwenzie kwenye uchochoro aisee kuona vile nahis swaum zang sidhan ka zitakubaliwa nmeona vitu vya ajabu leo dah
Duu pole mno ustaadhi ,Allah aipokee swaumu isiharibike Mana hukujua ama ulitakiwa uwapige hapo hapo. Maandiko yanasemaje
 
Mumeelewa ngwajima anavyosema hapo
Unapotetea ushoga tukikuita shoga jivunie
Siyo utetee kitu ambayo wewe mwenyewe hufurahii kuitwa hivyo
Ushoga ni tatizo la kutengeneza ndiyo maana tunalipinga watoto wetu wanaharibiwa

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Mtoto wako akija kuwa shoga ni yeye mwenyewe, usije ukalumu kashauriwa na watu wengine, ushoga haufundishwi, kuna vitoto vidogo hata maana ya ushoga havijui lakini ukiviangalia unajua huyu atakuwa shoga 100%
 
Dah jmn niombeeni nko na stress nmetoka masjid mida ya magharib kigiza ivi nakuta jamaa mwanaume kamuinamisha dume mwenzie kwenye uchochoro aisee kuona vile nahis swaum zang sidhan ka zitakubaliwa nmeona vitu vya ajabu leo dah
Duh pole sana, kwa Sasa imefikia steji ya Sodoma na Gomora. Cha msingi tupige magoti tumuombe mungu, ili dhambi hii isiendelee kutawala kwa watoto wetu. Pia watoto wetu tuwe nao wakati wote tuepuke Sana kuwapeleka watoto wadogo kwenye shule za boarding na hizi day care, ndo wanaharibiwa huko. Hali ni mbaya Sana...
 
Watoto wa shule wafundishwa Ushoga Mashuleni.......


 
Back
Top Bottom