Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
MCHUNGAJI NGWAJIMA AZUNGUMZIA KUHUSU USHOGA NA USAGAJI.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤢🤢🤢🤢🤢🤢 🤧🤧😭😭😭Dah jmn niombeeni nko na stress nmetoka masjid mida ya magharib kigiza ivi nakuta jamaa mwanaume kamuinamisha dume mwenzie kwenye uchochoro aisee kuona vile nahis swaum zang sidhan ka zitakubaliwa nmeona vitu vya ajabu leo dah
Siongopi shekh wang maeneo ya magomen huku nmeshindwa kuswal taraweh mana ndo njia yang🤢🤢🤢🤢🤢🤢 🤧🤧😭😭😭
Basi we baki nayo usizidi kueleza hapaSiongopi shekh wang maeneo ya magomen huku nmeshindwa kuswal taraweh mana ndo njia yang
Hachana na ushoga jamaa yangu.Wazinzi na waongo kama Gwajima wanajiona wako safi na kukemea mashoga, dunia imejaa wanafiki watupu
Mkuu mbona askofu Rwaichi alisshasema kitambo siku amekutana na vyombo vya habari akiongelea pia na pugu marathon.Kama mchungaji wa kanisa la ufufuo na uzima na mbunge wa jmt hana uwezo na ushawishi au attentive, askofu wa kikatoliki na wa kianglican akizungumzia ushoga atapewa attention kwa kuwa watakuwa wanazungumzia msimamao wa kanisa lao ulimwenguni kutoka vatican na cantebury. Anatoa maoni yake kama mtu binafsi asiyekuwa na ushawishi duniani. Tusubiri pasaka na iddi tutasikia misimamo ya makanisa mbalimbali na mashekh, maana mwaka huu mahubiri yatajikita zaidi kwenye mmomonyoko wa maadili. Wasiishie kwenye ushoga tu wazungumzie na wezi wa mali za umma/wadokozi wa fedha za umma
Duu pole mno ustaadhi ,Allah aipokee swaumu isiharibike Mana hukujua ama ulitakiwa uwapige hapo hapo. Maandiko yanasemajeDah jmn niombeeni nko na stress nmetoka masjid mida ya magharib kigiza ivi nakuta jamaa mwanaume kamuinamisha dume mwenzie kwenye uchochoro aisee kuona vile nahis swaum zang sidhan ka zitakubaliwa nmeona vitu vya ajabu leo dah
Mtoto wako akija kuwa shoga ni yeye mwenyewe, usije ukalumu kashauriwa na watu wengine, ushoga haufundishwi, kuna vitoto vidogo hata maana ya ushoga havijui lakini ukiviangalia unajua huyu atakuwa shoga 100%Mumeelewa ngwajima anavyosema hapo
Unapotetea ushoga tukikuita shoga jivunie
Siyo utetee kitu ambayo wewe mwenyewe hufurahii kuitwa hivyo
Ushoga ni tatizo la kutengeneza ndiyo maana tunalipinga watoto wetu wanaharibiwa
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Duh pole sana, kwa Sasa imefikia steji ya Sodoma na Gomora. Cha msingi tupige magoti tumuombe mungu, ili dhambi hii isiendelee kutawala kwa watoto wetu. Pia watoto wetu tuwe nao wakati wote tuepuke Sana kuwapeleka watoto wadogo kwenye shule za boarding na hizi day care, ndo wanaharibiwa huko. Hali ni mbaya Sana...Dah jmn niombeeni nko na stress nmetoka masjid mida ya magharib kigiza ivi nakuta jamaa mwanaume kamuinamisha dume mwenzie kwenye uchochoro aisee kuona vile nahis swaum zang sidhan ka zitakubaliwa nmeona vitu vya ajabu leo dah