Ushindwe shetani kwa Jina la YesuPamoja na urahisi huo bado hautaingia
PointMimi nazan bora hata gwajima anayeweza kucmama na kukemea maovu ya serkar kuliko wachungaj na maaskofu wanafki wanaojifanya wanaliombea taifa aman wakat haki haipo.
Mungu yup? Unamjua Mungu? Una ushahidi kuwa katumwa na Mungu?Ndio yy ni zaid ya rais maana yy ni mtumish wa Mungu na mungu ni zaid rais ..kwanza wenye mamlaka ni wananchi na siyo rais
Mwenyewe kashasema ata akipata zero ndo kashakua RC wenye wivu mjinyonge, najua wivu unawasumbua mmesota weeee mwishowe mnaambulia kuwa ma joblessBw.Gwajima ana matokeo ya shule aliyosoma Bw.Daud Bashite yanayoonyesha Bashite alipata F zote.
Hukumu ya Mungu ni tofauti na wanadamu, hatuwezi kuona watu wanafanya upuuzi kwa kisingizio eti tusiwahukumu, mbona wao wanahukumu watu, wao ni Mungu?Uandishi na msimamo huu sometimes nashangaaaa. Gwajima either ni mchungaji au nabii wa uongo au tapeli hiyo ni juu yake na Mungu wake when it comes kwa kiongozi wa watanzania tunayo haki ya kujua. Tuache kutetea kitu ambacho kipo wazi ni udanganyifu sasa kama waandishi mnaandika kwa kuabudu au kukumbatia watu basi bado tuna Safari ndefu. Gwajima Mungu atamhukumu kwa jinsi yake na Daudi atahukumiwa na watanzania kwa jinsi yake period!
Gwajima anavuta bangi na madawa ya kulevya, nyie muangalieni tu akiongea na tabia yake, bangi bangi yani hana hekima ya Mungu, jamaa shetani sanamakonda kachokoa maslahi ya gwajima ulitaka gwajima atulie tu?
Kumbuka yesu kristo alivyokuwa akiwaita mafarisayoBavicha wamechanganyikiwa Sasa hivi gwajima yuko upande Wao yoyote ambaye anapingana na serikali basi Bavicha watamtetea Sana. Pascal Umeona mbali huyu jamaa sio kabisa Ana Dharau Sana na mimi nasema mwenyezi MUNGU afanye Sawasawa na mapenzi Yake. Binadamu wa dhaifu Sana
Kaka Paskali, hapo ndipo utajua kuwa vijana wengi wa sasa wameharibikiwa vichwa kwa sababu ya bangi na "unga". Division 0 hapewi cheti, lakini watu wameshindwa kabisa kufikiria jambo dogo kama hilo!.Hajasema ana matokeo, amesema ana vyeti mezani kwake, hivi kweli kuna cheti cha divisheni 0 ya miaka hiyo?.
Paskali
Ujinga wa wengi siku zote ni faida kwa mwenye akili mmoja.Ni rahisi sana muumini wa kawaida kuingia mbinguni kuliko mchungaji kuingia mbinguni. Trust me
Huwezi kuugombea uyesu au umohamedMbona Magufuli hajagombea uchungaji aligombea uraisi?
KwahiyoKama ni kweli Gwajima ni mtumishi wa MUNGU basi haongozwi na roho anahubiri kwa kutumia mawazo yake. Inawezekana asemayo ni kweli lakini kwann aseme mbele ya watu maana yake anataka ahukumu,zaidi ya dakika 15 za hiyo clip hakuna hata neno la MUNGU alilohubiri zaidi ya story sina shaka anaweza kumaliza ibada nzima asihubiri kinachopaswa kuhubiriwa zaid ya kujivuna.
Mkuu, wachungaji wengi wa Afrika ni wasanii tu. Usidanganywe na yale yanayofanyika mbele za runinga, usidanganywe na mahubiri marefu. Wanafanya mengi machafu, wakiwa gizani.Ndugu Pasco!
-Kwanza kabisa mimi niseme tu kwamba, Mtumishi wa Mungu yoyote yule hususani Mchungaji, ni mtu mwenye thamani kubwa mbele za Mungu, huyu ni Mkuu na ni bora na ni mtawala na ni mfalme kuliko Rais yoyote yule duniani.
-Nikueleze tu kwamba, mtu anayetawala roho ndie anayetawala mwili, mtu wa rohoni atamuendesha mtu wa mwilini anavyotaka yeye. Kama huamini basi fanya uchunguzi mmoja, mchunguze tajiri yoyote au boss yoyote yule ambae ana mganga wa kienyeji, yupo tayari kukosana na familia yake au hata wafanyakazi wenzie lakini awe na amani kwa mganga wake. Na kwa wanaowatumia Watumishi wa Mungu ni hivyo hivyo.
-Gwajima ni kiongozi wa kiroho (Iwe ni kweli Mtumishi wa Mungu au Lah), na kama ni kiongozi wa kiroho kwa nafasi yake yeye amepewa jukumu la kuongoza watu ili wafike kwa Mungu wao siku ya hukumu. Kazi ya Mchungaji ni ngumu kuliko hata Rais. Rais anaweza akaingia maagano na Mungu akataka kutandika nchi nzima ila viongozi wa kiroho wakasimana kuomba rehema na Mungu akarehemu. Rais hana nafasi ya kumsogeza mtu kwa Mungu ila Mchungaji anaweza.
SWALI YA KUJIULIZA!
KIPI NI CHA MAANA KWAKO, ROHO YAKO AU MWILI WAKO?