Hiyo kauli yako Unamuabisha Mungu sio sahihi Mwanadamu hawezi akamuabisha Mungu zaid ataaibika yy mwenyewe kwani yy akifanya Maovu Je jambo hili linafanya watu wasimuabudu Mola wao au Kitu hiki kinampunguzia nn Mungu ?nimekaa nimetafakari ile migogoro na kardinali pengo,maneno yote aliotamka...nimekaa nikatafakari pia maneno anayoyatoa juu ya bashite,nimekaa nimetafakari maneno na migogoro na DK slaa..kwa kweli kiongozi wa dini alie nyuma ya mungu hakutakiwa kuongea hayo yote....biblia inasisitiza upendo hata kama mtu amekuudhi vipi nimefikiri yeye ndio angekua mtu wa kwanza kuyaishi hayo maneno lakini kwa huyu ni tofauti kabisaa anamdhalilisha muumba wetu kwa kweli...sijui waumini wake wana hali gani kiroho kama kama kiongozi wao ndio yupo hivi...sina mambo binafsi juu ya huyu jamaa ila kwa kiongozi wa dini hii ni hatari sana...sidhani kama gwajima anafanya kazi ya mungu na kama anafanya kazi ya mungu anajidanganya anamfanyia shetani kazi...nilitegemea yeye ndio angeleta suluhisho juu ya migogoro yote ile kila mgogoro ukihusishwa na huyu jamaa ndo unapamba moto...yesu kristo alisemwa sana na kufanyiwa fitna nyingi sanaa lakini alipotezea tu na kusamehe...tuishi kwa mfano wake
Lengo ni kumkomesha BASHITE akome kujifanya mjuaji[emoji196] [emoji216] [emoji83]Mtumishi wa mvngu bishop gwajima, salaam, na pole kwa kaz uifanyayo najua hustahil pole kwa kaz hiyo maana ni mungu kakutuma ila kwangu mm naomba nikupe pole.
Nina swali kwako mtumish, unapolichukua swala la makonda na kulifanya ajenda kuu ndani ya mahubir yako lengo lake ni nn?
Mh. Unachukua muda mwing kumsif rais na kumponda makonda maana yake ni nn?
Huna haja ya kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa rais. Rais anajua cha kufanya juu ya makonda huna haja ya kunfundusha kaz rais, kama kusikia kaskia sana, ikija tokea rais asfanye kama upendavyo nn utafanya ?
Kama makonda kakukisea kazi yako ni kumuombea, na kusamehe,.
Kwan ye ndo mkaguzi wa vyeti? Haya na kuyaambia mapepo yakamwungie makonda ni utumish wa WAP huo?Kama unachukia vyeti feki huwezi kumchukia Gwajima labda utamshangaa rais