Mchungaji Hananja: Wanaofanya biashara kwenye nyumba za ibada wakatwe kodi

The Sheriff

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2019
Posts
747
Reaction score
2,112
Mchungaji Richard Hananja anasema wale wote wanaouza vitu katika nyumba zao za ibada wakatwe kodi kwani ni kama tu wamehamishia maduka kwenye nyumba za ibada.

Siku hizi nyumba nyingi za ibada zinazomilikiwa na watu binafsi zimekuwa na utaratibu wa kuuzia waumini wao vitu kama vile maji, mafuta na bidhaa nyingine ambazo wanadai zinasaidia katika uponyaji wa kiroho.

Vipi, unakubaliana na Mchungaji?

Your browser is not able to display this video.
 
Kweli KODI!
 
Viongozi wenyewe hasa hawa wakisiasa wa chama chawala ndio wateja wao wakubwa
 
"zinasaidia katika uponyaji wa kiroho"
Kwamba, wenye matatizo ya kiroho ni wao tu waislamu hawana, RC hawana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…