peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Mbunge wa Jimbo la Hai, Msikilize baba mchungaji, kuna ujumbe wako.
"Kwanini taasisi zinakufa? Kwanini Uchumi unaanguka? Kwanini kutokuzalisha? Ni kwasababu hautumii wenye akili! Namna ambavyo unaweza kuzalisha ni kutumia wenye akili. Sasa ukishaona kila mwenye akili kwako ni tishio (threat), ukimuona kila mwenye akili kwako ni pigo, ukimuona unashtua, HAPANA. Mtumie mwenye akili akuweke kwenye kiti sawa sawa.
"Kwasababu Yusuph hakuwahi kumpindua Pharao, lakini Pharao aliendelea kutawala wananchi wenye chakula, na wananchi wakishakula wakiwa na maisha yao, we piga siasa zako utakazotaka hawahangaiki, ila huwezi kumtawala mwananchi mwenye njaa. Ndio kile kinachoendelea nchi Jirani za Afrika, tena Afrika Mashariki.
"Mtu akiwa na njaa hatawaliki, nak ama una mtu mwenye akili anayeweza kusababisha chakula kiwepo mtumie ili ubaki kwenye kiti. Mwenye akili hana mpango na kiti! Mwenye akili anawepo kusaidia watu wakae kwenye kiti, mwenye akili haitaji siti ya kudumu! Hakuna mwenye akili anahaingaika na siti ya kudumu hata siku moja.
"Sasa kutana na mjinga anayelinda kiti, mjinga anayelinda kiti anaua wenye akili akiamini atakaa! Hatakaa kwasababu wenye njaa watamtoa. Wenye njaa wameingia bungeni wakala chakula cha bunge! Watu wako serious hivyo wakiwa na njaa.
"Kwa kumaliza ningeomba sana siyo Tanzania tu, Afrika yote tukubali kutumia wenye akili. Makampuni, ninyi ma CO, tumieni wenye akili, hata kama ni darasa la saba ana akili anaweza kuchangia na kusababisha uzalishaji kwenye makampuni, taasisi, nk, uzalishaji unafanywa na wenye akili."
"Kwanini taasisi zinakufa? Kwanini Uchumi unaanguka? Kwanini kutokuzalisha? Ni kwasababu hautumii wenye akili! Namna ambavyo unaweza kuzalisha ni kutumia wenye akili. Sasa ukishaona kila mwenye akili kwako ni tishio (threat), ukimuona kila mwenye akili kwako ni pigo, ukimuona unashtua, HAPANA. Mtumie mwenye akili akuweke kwenye kiti sawa sawa.
"Kwasababu Yusuph hakuwahi kumpindua Pharao, lakini Pharao aliendelea kutawala wananchi wenye chakula, na wananchi wakishakula wakiwa na maisha yao, we piga siasa zako utakazotaka hawahangaiki, ila huwezi kumtawala mwananchi mwenye njaa. Ndio kile kinachoendelea nchi Jirani za Afrika, tena Afrika Mashariki.
"Mtu akiwa na njaa hatawaliki, nak ama una mtu mwenye akili anayeweza kusababisha chakula kiwepo mtumie ili ubaki kwenye kiti. Mwenye akili hana mpango na kiti! Mwenye akili anawepo kusaidia watu wakae kwenye kiti, mwenye akili haitaji siti ya kudumu! Hakuna mwenye akili anahaingaika na siti ya kudumu hata siku moja.
"Sasa kutana na mjinga anayelinda kiti, mjinga anayelinda kiti anaua wenye akili akiamini atakaa! Hatakaa kwasababu wenye njaa watamtoa. Wenye njaa wameingia bungeni wakala chakula cha bunge! Watu wako serious hivyo wakiwa na njaa.
"Kwa kumaliza ningeomba sana siyo Tanzania tu, Afrika yote tukubali kutumia wenye akili. Makampuni, ninyi ma CO, tumieni wenye akili, hata kama ni darasa la saba ana akili anaweza kuchangia na kusababisha uzalishaji kwenye makampuni, taasisi, nk, uzalishaji unafanywa na wenye akili."