johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kimaro aache unafiki, ametoka kwenye misingi ya neno la Mungu sasa anaangalia popularity. Enzi za Mwendazake alikua akisifia kila kituMchungaji Kimaro anasema Kiongozi makini huwapenda wakosoaji kwa sababu wanapomueleza Ukweli wanamfanya ajirekebishe na kujijenga zaidi
Wenye IQ kubwa mjitokeze kugombeaViongozi wengi wa Africa wanatoka katika Familia au Koo ambazo Wana IQ ndogo au Wavivu wa Kufikiri.
Hiyo Logic hapo kwao ni Logic-less.
HakikaHuo ni ukweli unaouma.
Karibu bwasheeSijasali hapo almost the whole this year.
Ngoja nirudi maana naona kumenoga.
Kila zama na kitabu chakeKimaro aache unafiki, ametoka kwenye misingi ya neno la Mungu sasa anaangalia popularity. Enzi za Mwendazake alikua akisifia kila kitu
Mchungaji Kimaro amekugusa?Kwani yeye amekatazwa kuwa Chawa?
Harafu hii mentality ya kipumbavu imetoka wapi kwamba kuwa kiongozi au mpinzani mzuri lazima uwe unakosoa na kupinga kila kitu?
Mwisho anaefanya vizuri ndio husifiwa,na ni upumbavu kudhani kila anaemsifia kiongozi ni Chawa.
Wapi pameandikwa "kukosoa na kupinga kila kitu"!!???Kwani yeye amekatazwa kuwa Chawa?
Harafu hii mentality ya kipumbavu imetoka wapi kwamba kuwa kiongozi au mpinzani mzuri lazima uwe unakosoa na kupinga kila kitu?
Mwisho anaefanya vizuri ndio husifiwa,na ni upumbavu kudhani kila anaemsifia kiongozi ni Chawa.
Kwani na ww chawa?Kwani yeye amekatazwa kuwa Chawa?
Harafu hii mentality ya kipumbavu imetoka wapi kwamba kuwa kiongozi au mpinzani mzuri lazima uwe unakosoa na kupinga kila kitu?
Mwisho anaefanya vizuri ndio husifiwa,na ni upumbavu kudhani kila anaemsifia kiongozi ni Chawa.
Vumilia mkuu..ukweli uma tabia ya kuuma mno.Afanye kazi yake ya kueneza injili
Chawa waliasisiwa bavicha kwa jina la MakaraiChawa waliasisiwa awamu ya tano....sasa chawa wamejaa hadi ngazi ya familia..ni janga kubwa kwa taifa
Chawa upo?Wenye IQ kubwa mjitokeze kugombea
Wewe chawa pro max hujambo?Kwani yeye amekatazwa kuwa Chawa?
Harafu hii mentality ya kipumbavu imetoka wapi kwamba kuwa kiongozi au mpinzani mzuri lazima uwe unakosoa na kupinga kila kitu?
Mwisho anaefanya vizuri ndio husifiwa,na ni upumbavu kudhani kila anaemsifia kiongozi ni Chawa.