Mimi ndiye niliyeandika sana!!!! Ninao muda wa kufanya hivyo pale inapobidi kusema ukweli ninao ufahamu. Swala la akili sana hizo ni inferiority complex, halinihusu mimi. Hapa we dare to talk open, we have democracy na si kutishana hapa. Yes, wewe ni mdau hapa siku nyingi, nakuheshimu nawe niheshimu pia. Ni kipimo kipi unatumia ku judge wenzio kuwa wana akili au hawana????? Mods ni vema kuwakumbusha wengine hata kama ni wakongwe wa hii forum waheshimu sisi tunaoonekana tukichangia tuna akili sana au kutudharau kwa sababu ya ugeni wetu au tuseme ujunior wetu. Hapa kwenye forum haijalishi umeingia lini, kuna wau ambao wakiingia leo michango yao ni mikubwa kuliko wale ambao wapo tangu awali, registration date is not sufficient to prove intelligence ya mtu au uzoefu alio nao katika masuala ya kijamii. Humu ndani yawezekana mwanangu ni member, na inawezekana kajisajili 5 years ago na mini mwaka jana tu. Haiwi kipimo kuwa mwanangu huyo anafahamu mambo mengi kuliko mimi. Pia atueleweshe tunatakiwa tutumie space kiasi gani katika kuchangia. Hata Yohoo. com space ni kubwa these days!!!!! Tuheshimiane kaka/dada yangu. Huwa ninakuheshimu sana na michango yako positively or negatively kwenye issues na si lazima kukubaliana na kila kitu member anachopost hapa. Kwa ukweli na uwazi ungenitaja tu jina MAANE. Nina amani moyoni katika mchango niliotoa hapo juu kuhusu ninachokifahamu kwa miradi ya Mama Lwakatare sikumtukana mtu wala kusingizia, nimesema ukweli. Huwa sina tabia za majungu hata ukienda back to all my postings utakuta hilo. Sitapenda kulumbana wala kutukanwa kwa sababu nimekujibu, si tabia yangu. Ukiwa wazi katika maisha utaepuka mambo mengi sana hasa magonjwa. Mimi mi mtu mzima. Thank you.
- Mkuu Maane, heshima mbele sana kaka, hapa umenishangaza sana kwa sababu nimehesabu ndani ya hii thread wewe umechangia mara moja na hii ya pili tu kwa jina la Maane, sasa naomba nikuulize hivi haya maneno yote hapo juu ni juu ya nini hasa na wewe ndio kwanza umechangia mara moja tu na hii ni ya pili? Sasa unaona unavyojiweka wazi mwenyewe kuwa una something to do sio tu na inferior complex ila hata maana ya quote yangu uliyoi-quote wewe mwenyewe?
- I mean pili pili iko shambani wewe imekufikaje mkuu? Au inakuhusu vipi? Mimi siwezi kumtetea huyu mama as a person kwa sababu simjui ingawa ninajua some of mapungufu yake, lakini hayajafikia kuwa tatizo kwa taifa sasa unataka nini kwamba tusiulize ukweli wa habari yako?
- Sio mara ya kwanza unaleta huu mchezo wako kwamba ukianzisha topic lazima wote tukubali tu, otherwise utajaribu kuzunguka zunguka as if sisi wengine wote hapa ni wajinga, unakumbuka ile topic ya Kikwete na kutojiamini? Hivi hivi ukaleta ukali wee na maneno mengi ya kashfa kwa sababu nimetofautiana na mawazo yako vipi mkuu kwa nini msianzishe forums yenu maana mko wengi sana humu ndani kwamba ni lazima wengine tukubali tu mawazo yenu, WHY?
- Nimekuuliza time and time again ukweli wa hii habari, unajaribu kunizunguka na ujanja wako mwingi badala ya kujibu swali, what quote yangu has to do na wewe Maane na sio wengine wote kwenye hii thread? Unaweza kunijibu hili swali kama wewe ni mkweli kama unavyodai? Acha utoto mkuu wewe uko wazi sana jina lako la kweli ni Maane? Wewe huwaoni walio wazi humu kina Mkandara na Kitila?
- Tarehe yangu ya kujiunga hapa inahusu vipi na mawazo yangu na wewe na mawazo yako? Halafu eti ndio unataka kuongelea inferioritism? Kweli mkuu unaelewa maana ya hili neno au mnakurupuka tu? Acha hiz bro kama huwezi kuleta ukweli wa habari yako wewe endelea na mawazo yako, lakini usitulazmishe wote hapa tuwe tunakubali tu kama wajinga, hakuna mtoto wako hapa wote sisi ni watuwazima, huna ukweli huna right to speak wala kumlaumu yoyote anayeuliza,
Kwenye hii habari simply huna ukweli wa mada na kumhusu huyu mama, sisi hatuko hapa kuchafua majina ya viongozi bila sababu, sio tabia yetu hata siku moja mkuu, samahani kwa kukukwaza lakini umenishanganza sana kwamba from all the people kwenye hii thread wewe tu tena na mchango mmoja ndio umekwazika na kunirushia maneno ya chooni, ni lazima nikujibu bila ya kujali tarehe yako au yangu ya kuingia hapa maana it has nothing to do kabisaaa na mawazo yangu, ingawa inaonekana mawazo yako hutengenezwa na tarehe ya kuingia hapa, I am sorry sio na yangu!
Sauti ya umeme - FMES!