Mchungaji Mackenzie wa Shakahola aitaka Mahakama kumuua na kutupa Mwili wake Mto Yala, adai anateseka Gerezani

Mchungaji Mackenzie wa Shakahola aitaka Mahakama kumuua na kutupa Mwili wake Mto Yala, adai anateseka Gerezani

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Akiwa katika Mahakama ya Shanzu ambapo shauri dhidi yake na washirika wake linatajwa, Paul Mackenzie alipiga kelele akiitaka Mahakama iwaue kisha miili yao itupwe Mto Yala, akidai haki zake na za Washtakiwa wenzake 15 zilikiukwa wakiwa Gerezani, baada ya kunyimwa dhamana

Amemwambia Hakimu, "Nimekaa Siku 2 bila Kula na Kuoga kwa sababu nimefungwa 24/7 kwenye chumba chenye giza. Mamlaka ndiyo inaelekeza nitendewe hivyo, najiuliza ni nani ataniokoa? Ikiwa umetuchoka na hutaki kutupatia Haki za Msingi unaweza kutuua na kutupa miili yetu katika Mto Yala. Baada ya yote, sisi sote tutakufa siku moja. Mahakama hii inahitaji kunisaidia kwa sababu ninateseka"

Mchungaji Paul Mackenzie na wenzake wanazuiliwa kuhusiana na vifo vya watu 425 akidaiwa kuwashawishi kufunga hadi kufa huko Shakahola, huku zaidi ya watu 600 bado wakiripotiwa kutoweka

Chanzo: Citizen Digital
 
Wazungu walipotuletea dini, wangetuelekeza na namna ya kuziendesha hizo dini. Ona Sasa tukijiongoza sisi tunajiua kwa kufunga mpaka kufa.
 
Akiwa katika Mahakama ya Shanzu ambapo shauri dhidi yake na washirika wake linatajwa, Paul Mackenzie alipiga kelele akiitaka Mahakama iwaue kisha miili yao itupwe Mto Yala, akidai haki zake na za Washtakiwa wenzake 15 zilikiukwa wakiwa Gerezani, baada ya kunyimwa dhamana

Amemwambia Hakimu, "Nimekaa Siku 2 bila Kula na Kuoga kwa sababu nimefungwa 24/7 kwenye chumba chenye giza. Mamlaka ndiyo inaelekeza nitendewe hivyo, najiuliza ni nani ataniokoa? Ikiwa umetuchoka na hutaki kutupatia Haki za Msingi unaweza kutuua na kutupa miili yetu katika Mto Yala. Baada ya yote, sisi sote tutakufa siku moja. Mahakama hii inahitaji kunisaidia kwa sababu ninateseka"

Mchungaji Paul Mackenzie na wenzake wanazuiliwa kuhusiana na vifo vya watu 425 akidaiwa kuwashawishi kufunga hadi kufa huko Shakahola, huku zaidi ya watu 600 bado wakiripotiwa kutoweka

Chanzo: Citizen Digital
Mchungaji Paul Mackenzie na wenzake wanazuiliwa kuhusiana na vifo vya watu 425 akidaiwa kuwashawishi kufunga hadi kufa huko Shakahola, huku zaidi ya watu 600 bado wakiripotiwa kutoweka,[emoji848][emoji3064][emoji3064][emoji2827]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mackenzie umewekwa siku 2 bila kula, tayari unalalamika, ilihali wenzio uliwaweka zaidi ya siku 7 bila kula, hadi mauti kuwafika!!
Sio muda wa ww kulalamika, bali kujiunganisha kinafsi na wale uliowatanguliza kifoni, ili angalau kutengeneza patanisho..sio inshu ndogo hiyo ya ww kuanza kudai ugali.
 
Wazungu walipotuletea dini, wangetuelekeza na namna ya kuziendesha hizo dini. Ona Sasa tukijiongoza sisi tunajiua kwa kufunga mpaka kufa.
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
Ukisoma Biblia kama gazeti ni matokeo yake kama kina kibwetele, nabii tito na wengine.
 
Mackenzie umewekwa siku 2 bila kula, tayari unalalamika, ilihali wenzio uliwaweka zaidi ya siku 7 bila kula, hadi mauti kuwafika!!
Sio muda wa ww kulalamika, bali kujiunganisha kinafsi na wale uliowatanguliza kifoni, ili angalau kutengeneza patanisho..sio inshu ndogo hiyo ya ww kuanza kudai ugali.
Ningelikuwa Mimi Serikali ya Kenya huyu jamaa angekufa kifo cha kikatili sana!
 
Ningelikuwa Mimi Serikali ya Kenya huyu jamaa angekufa kifo cha kikatili sana!
huyu sijui unamuua kifo gani ambacho nafsi itaridhika ... maana kila nikifikiria jinsi watoto wadogo walivyokufa vifo vya kikatili mno ...huyu hapaswi kufa kifo cha siku moja inapaswa kumpa mateso makali mno ....narudia tena ma te so maaaakali mnooooooo mnoooooo.... then mnampa matibabu ya hali juu kabisa ili kurecover majeraha ....akiwa ok tena mnampa tena mateso ya hatari mno ...yaani hapaswi kufa kifo cha siku moja inapaswa ateswe zaidi ya miaka 100.....yaani zaidi ya trioni 30 yafaa zitumike kumtesa huyo muovu
 
huyu sijui unamuua kifo gani ambacho nafsi itaridhika ... maana kila nikifikiria jinsi watoto wadogo walivyokufa vifo vya kikatili mno ...huyu hapaswi kufa kifo cha siku moja inapaswa kumpa mateso makali mno ....narudia tena ma te so maaaakali mnooooooo mnoooooo.... then mnampa matibabu ya hali juu kabisa ili kurecover majeraha ....akiwa ok tena mnampa tena mateso ya hatari mno ...yaani hapaswi kufa kifo cha siku moja inapaswa ateswe zaidi ya miaka 100.....yaani zaidi ya trioni 30 yafaa zitumike kumtesa huyo muovu
Sawa sawa. Nakuunga mkono.
 
Mackenzie umewekwa siku 2 bila kula, tayari unalalamika, ilihali wenzio uliwaweka zaidi ya siku 7 bila kula, hadi mauti kuwafika!!
Sio muda wa ww kulalamika, bali kujiunganisha kinafsi na wale uliowatanguliza kifoni, ili angalau kutengeneza patanisho..sio inshu ndogo hiyo ya ww kuanza kudai ugali.
AliwAweka wapi ? Aliwafungia kwani
 
Back
Top Bottom