LGE2024 Mchungaji Mangala: Wananchi wote wenye umri kuanzia miaka 18 nendeni mkajiandikishe mchague Viongozi mnaowapenda

LGE2024 Mchungaji Mangala: Wananchi wote wenye umri kuanzia miaka 18 nendeni mkajiandikishe mchague Viongozi mnaowapenda

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mchungaji Agnes Mangala wa KKKT Usharika wa Highlands ametoa wito Kwa Wananchi wote kujiandikisha Kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za mitaa

Mchungaji Agnes Mangala amesema kila mwenye umri wa miaka 18 na kuendelea ni Wajibu wake kujiandikisha na kuchagua viongozi wa kuliongoza taifa

Source Upendo Tv

Nawatakia Dominica Njema 🌹
 
Back
Top Bottom