Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Ana upuuzi na ujinga mwingi sana sijui uo wito wa uchungaji aliutolea wap.Hajawahi kuwa na hatakuwa na waumini anaowaongoza zaidi ya kuhubiri pale Stend ya Mbezi. Hana lolote ajualo katika uchungaji na wala hana uchungaji ni mbabaishaji tu.
Vita ya Mchungaji Mashimo na timu ya Yanga imeingia Episode nyingine.
Kwenye video moja amesikia akitoa maneno makali kwa Ali Kamwe na Haji Manara. Namnukuu.
βLeo ndo nimejua kuwa Yanga wameweka Afisa Habari ambaye akili zake zipo kwenye Pua, Ali Kamwe. Ni viongozi wapuuzi, yaani wapuuzi kwa wapuuzi wamekutana, ngβombe kwa ngβombe wamekutana.β
Amemtaja pia Haji Manara kwa kusema βSasa huyo Haji Manara anafungua domo lake kama la punda wawawaaaaa, ananitukana mimi. Who are you by the way? Mimi ni brand, brand yangu ni zaidi ya Haji Manaraβ
Mtanange bado unaendelea. Yetu Macho.
Kiufup ni tapeliTunaoishi Mbezi tunamjua vizuri huyu jamaa..Hana lolote la uchungaji ni mjanja mjanja tu..huwa asubuh Sana anakuja na vispika vyake anaanza kuhubiri apate sadaka, nakumbuka siku moja akawa anawaambia wasafiri walikuwa kwenye gari ya kwenda Moshi kuwa wasipotoa sadaka watapata ajali njiani, mjanja mjanja Sana jamaa[emoji3][emoji3][emoji119]
Ila unatetea yanayofanywa na manara, ndio ukatoliki unavyotaka!!!! Basi sawa mkuuMimi ndiyo maana sijutii kuwa Mkatoliki. Maana huku hatuna matope kama hayo.
Hata kama baadhi ya Mapadre wetu wana madhaifu ya hapa na pale! Ila siyo kwa kiwango cha hao wahuni waliotapakaa kote duniani kwa sasa.
Yeye kwake punda sio tusi maana alimbeba Yesu kuingia Yerusalem πππAlimaanisha punda huyuhuyu, pundamilia au pundamliaji?πππ
Hahahaa clip basi....duniaa hiii Raha sana.Aisee nimeona clip yake.... mchungaji ana matusi mazito huyu sijawahi shuhudia.....