Mchungaji Mashimo: Simba hawajanipa sadaka nimewalaani

Umeeleweka mkuu...hili jambo lingekemewa na wakristo
 
Aaahaaàaaaa

Mkuu Labani og ebu ongea na Hersi tupeleke hiyo sadaka chapu
 
Hakuna kitu kama hiko. Kwanza ana mtindio wa Akili. Hakuna mchungaji wala mtumishi yoyote mwenye akili timamu 100 akafanya huo upuuzi wa Mashimo.
Imeanza kufanya kazi[emoji23][emoji23]
 
Tapeli mkubwa huyu.
 
Mchungaji Mashimo ametoa tamko hili Baada Ya Ahmed Ally Kumkatia simu alipompigia ili atoe sadaka.

Pastor kafungukaa.....

"Nimeona watu wa simba wanajisifu wapo juu wamesahau kuna mtu aliewafanya wawepo hapo juu, wamesahau kwamba mimi ndio nilisema Simba SC kuwa itafanya vizuri msimu huu na tayari wamechukua ngao ya jamii

Nimempigia simu msemaji wa simba Ahmed ally awaambie viongozi watoe sadaka yao kabla mchezo wa Super League Dhidi ya Al Ahly lakini hajapokea simu Yangu ameikata !

Mwambieni ikifika hadi jioni saa 10(masaa mawili kabla mechi haijapigwa) na hawajatoa sadaka basi watapata laana watafungwa magoli mengi na Al Ahly, sitaki mashabiki watoe sadaka zao hii wanatakiwa kutoa viongozi wa simba sio mashabiki

Yanga niliwaambia watoe fungu la Kumi Wakadharau, laana Ambayo nimeishusha kwao ni Kushika Nafasi ya Tatu kwenye Ligi kuu Hadi watakapoleta Ile sadaka iliyobakia ya msimu uliopita, na wasipotoa hawatafika Popote wataishia Makundi"

Hilo ndio tamko la Mchungaji mpenda kiki wa Taifa Pastor Mashimo.

Maoni Yako ni yapi kuhusu kazi ya mchungaji, ipi mipaka yake, je na huku kwenye kandanda kaitwa na Mungu kutumika?
 
.....ubaya wa baadhi ya viongozi wa dini wa haya makanisa ya sasa yanayoanzishwa mitaani ni chuki na visasi. Wao kazi yao ni kuombea baya limtokee mtu Ili watoe ushuhuda wa kile wanachodai nguvu za kinabii au kiungu. Na wafuasi wanashangilia sana
 
Mchungaji shithole!
 
Nilidhani Mungu ndiye muamuzi wa yote...kumbe kuna mchungaji huku shitiholu kantri anampangia Mungu cha kufanya na watu mmekaa kimya tu hamtujuzi!
 
Mtu mwenyewe anaitwa mashimo,basi atumie hayo mashimo yake kujiinguzia kipato asisumbue timu za Simba na Yanga kila wakati.
My doubt.., inawezekana Simba walimpa sadaka before deadline.....that's y wame draw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…