#COVID19 Mchungaji Mastai: Kuchukua tahadhari dhidi ya Corona hakuhitaji kusubiri tamko la Rais

Ndo anapata akili saa hizi kumekucha?
 
Wanatapika wanageuka wanakula.

Hawa watumishi wa Bwana wamejishushia hadhi kwa kufuata mkumbo.

Huku wakijua mtaji wao ni poshi za waumini lakini walishindwa kuwapa tahazari.
Hawa waliojianzishia makanisa yao kamwe usiwaamini maana plan yao ni kutafuta fweeezaaa tu
 
Wewe inabidi uwe unafanya argument na wanadada wenzako kina Ester Bulaya ndiyo size zako
Hao akina Halima James Mdee ndio wanalipa mishahara ya Chadema kwa sasa.

Mnyika anampa shikamoo Halima James Mdee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…