TANZIA Mchungaji Mkongwe wa Kanisa la Waadventista Wasabato Nchini Joram Machage amelala usingizi wa umauti akipatiwa matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili

Hata mimi huwa naona kaubaguzi fulani katika mambo haya;
Mwingine anaitwa Marehemu
Mwingine anaitwa Hayati
Mwingine anaitwa yule jamaa aliyekufa
Huyo jamaa wa mwisho nimecheka sana
 
R.I.P mchungaji.

Ila kwanini wengine tuseme Amekufa,au kafariki au kupoteza kaisha alagfu wengine tuwape Neno (Usingizi wa umauuti)?

Tusiweke Madaraja hali ya kuwa wenye kuamini huamini Munu ndo ajuaye nafasi(daraja) ya mtu
Kufa kufa tu mkuu....


RIP pasta
 
Wa motoni huyooooo!!!! Wasabato wanapotoa biblia na kukana kwa Siri utendaji kazi wa Roho mtakatifu.
Tujihadhari tusiungane nae motoni kwa kuokoka na kuiishi biblia
 
Wa motoni huyooooo!!!! Wasabato wanapotoa biblia na kukana kwa Siri utendaji kazi wa Roho mtakatifu.
Tujihadhari tusiungane nae motoni kwa kuokoka na kuiishi biblia
umefanya kazi ya kuhukumu ambayo ni kazi ya mola..
 
Mbona wengine wanamuelekeza mola kwa kumlaza? Hii ni mitazamo yetu na haibadilishi alipo jiandalia hapa duniani
kumbe wengine? Sasa mkuu kama wanamuelekeza na wwe unataka kuelekeza au umesahau huyo huyo mungu unae mwabudu kwenye maandiko anasema" usihukumu usijeukahukumiwa"
 
Wasabato toka jiwe awarudishie ndembela secondary Tukuyu wamekuwa waunga juhudi hadi wanaboa Hasa Viongozi they confuse sana dini na siasa humo humo ... Sabato ya sasa imepoteza misingi Sana...sio kama zamani Enzi zetu za adventures na pathfinder....
Unasaidiaje kurejesha huko au nawe ni walewale wa kulaumu bila kuchukua hatua.
 
Makanisa mengi ya waadventista wana migogoro na majirani nyumba zinazo wazunguka wakibishania mipaka...wabishi sana.

Juzi nilikuta mahali flani wanabishania mti uliopo kwenye mpaka ni wa nani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…