Mchungaji Msigwa alikataa milioni 500 na cheo toka kwa Hayati Magufuli japo ni ndugu yake, nilimshangaa sana

Mchungaji Msigwa alikataa milioni 500 na cheo toka kwa Hayati Magufuli japo ni ndugu yake, nilimshangaa sana

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Kipindi wimbi la wapinzani kuunga mkono juhudi,ilikuwa ni project moja ya kushangaza sana,

Kulikuwa na dalili zote za wapinzani kununuliwa,unaitwa Ikulu unasomewa dhambi zako za kukwepa kodi TRA au dhambi nyingine unaambiwa uchague uunge mkono juhudi au kesho tukutane Kisutu RMC ,au tukufilisi?

Lowassa mzee wa watu aliitwa akasomewa dhambi zake na malaika mkuu aliyekuwa amwjeti kiti cha enzi,akaambiwa jinai haifi,join us or andaa mawakili wako tukachane Kisutu.

Msigwa na JPM ni ndugu kabisa,vijana wao wameoana,Msigwa aliambiwa atalipwa mafao yake ya ubunge na bonus juu kiasi cha takribani milioni 500 na cheo juu,ila akagoma, lengo la JPM ilikuwa ni kumuonea huruma ndugu yake asije kufa njaa huko mbeleni,sema Msigwa hanunuliki ,ni msafi sana,ni mchungaji kwelikweli ana hofu ya Mungu.
 
Ni kweli Msigwa alihimili majaribu ya shetani jiwe.
 
Kipindi wimbi la wapinzani kuunga mkono juhudi,ilikuwa ni project moja ya kushangaza sana,

Kulikuwa na dalili zote za wapinzani kununuliwa,unaitwa Ikulu unasomewa dhambi zako za kukwepa kodi TRA au dhambi nyingine unaambiwa uchague uunge mkono juhudi au kesho tukutane Kisutu RMC ,au tukufilisi?

Lowassa mzee wa watu aliitwa akasomewa dhambi zake na malaika mkuu aliyekuwa amwjeti kiti cha enzi,akaambiwa jinai haifi,join us or andaa mawakili wako tukachane Kisutu.

Msigwa na JPM ni ndugu kabisa,vijana wao wameoana,Msigwa aliambiwa atalipwa mafao yake ya ubunge na bonus juu kiasi cha takribani milioni 500 na cheo juu,ila akagoma, lengo la JPM ilikuwa ni kumuonea huruma ndugu yake asije kufa njaa huko mbeleni,sema Msigwa hanunuliki ,ni msafi sana,ni mchungaji kwelikweli ana hofu ya Mungu.

Basi kama unapenda pesa Mama Samia anapaka mafuta vidole vyake nenda kamuinamie upate cheo
 
Back
Top Bottom