Mchungaji Msigwa aliusoma mchezo mapema juu ya siasa ya Tanzania

Mchungaji Msigwa aliusoma mchezo mapema juu ya siasa ya Tanzania

Gabeji

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
1,530
Reaction score
1,903
Poleni kwa uchaguzi walioshidwa, na hongereni, kwa washindi . Ukiwa mwanasiasa ni muhimu sana uwe smart na creative sana katika kufanya mamuzi sahihi na wakati sahihi.

Lengo la kuwa mwasiasa mwisho wa siku lazima upate fedha,au uweze kunufaika na hizo siasa, asikudanganye mtu,eti mimi najitolea tu kama mzalendo "foolish" siasa ni kz kama kz zingine.

Mchungaji Msigwa kwa miaka aliyo kaa chadema hakika anafahamu siri nzito sana za chadema.

Pole kwa Tundu Lissu na pole kwa heche na wengine wenye kariba kama za hao, ukijua vzr mchezo wa siasa za Tanzania unao endelea, utaendelea kula bata.

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
 
IMG-20241129-WA0000.jpg
 
Poleni kwa uchaguzi walioshidwa, na hongereni,kwa washindi . Ukiwa mwanasiasa ni muhimu sana uwe smart na creative sana katika kufanya mamuzi sahihi na wakati sahihi. Lengo la kuwa mwasiasa mwisho wa siku lazima upate fedha,au uweze kunufaika na hizo siasa, asikudanganye mtu,eti mimi najitolea tu kama mzalendo "foolish" siasa ni kz kama kz zingine.
Mchungaji msigwa kwa miaka aliyo kaa chadema hakika anafahamu siri nzito sana za chadema.
Pole kwa tundu lisu na pole kwa heche na wengine wenye kariba kama za hao, ukijua vzr mchezo wa siasa za Tanzania unao endelea, utaendelea kula bata. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Njaaa mbaya
 
Poleni kwa uchaguzi walioshidwa, na hongereni,kwa washindi . Ukiwa mwanasiasa ni muhimu sana uwe smart na creative sana katika kufanya mamuzi sahihi na wakati sahihi. Lengo la kuwa mwasiasa mwisho wa siku lazima upate fedha,au uweze kunufaika na hizo siasa, asikudanganye mtu,eti mimi najitolea tu kama mzalendo "foolish" siasa ni kz kama kz zingine.
Mchungaji msigwa kwa miaka aliyo kaa chadema hakika anafahamu siri nzito sana za chadema.
Pole kwa tundu lisu na pole kwa heche na wengine wenye kariba kama za hao, ukijua vzr mchezo wa siasa za Tanzania unao endelea, utaendelea kula bata. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Uchaguzi??!
 
Waafrika hatutaendelea mpaka mwisho wa Dunia
Mnashangaa ya Chama kimoja huku wazungu wakiwachapishia pesa na kuwapa kama misaada kila mwaka ili muendelee kuwaomba
Kama mnapendwa mbona hampewi akili ya technology?
Hata mkiweza kutengeneza madawa hayavuki mipaka
Hamjiulizi kwanini?
Viongozi watakaa kusema ooh bado tunakopesheka kwa kuinua macho juu bila aibu
Na wanasiasa wamejifunza hivyo hivyo kwa watu wao
Hakuna vyoo shuleni anakuja mzungu anawapa msaada wa vyoo mnapiga makofi
Kuna akili hapo au misukule
 
Waafrika hatutaendelea mpaka mwisho wa Dunia
Mnashangaa ya Chama kimoja huku wazungu wakiwachapishia pesa na kuwapa kama misaada kila mwaka ili muendelee kuwaomba
Kama mnapendwa mbona hampewi akili ya technology?
Hata mkiweza kutengeneza madawa hayavuki mipaka
Hamjiulizi kwanini?
Viongozi watakaa kusema ooh bado tunakopesheka kwa kuinua macho juu bila aibu
Na wanasiasa wamejifunza hivyo hivyo kwa watu wao
Hakuna vyoo shuleni anakuja mzungu anawapa msaada wa vyoo mnapiga makofi
Kuna akili hapo au misukule
" Black people are incomplete human being" Kiongozi anaona fedha ndani ya nchi yake anaenda kuficha ulaya, kesho yake anaenda kuomba msaada kwa hao hao ,hizi ni akili? Au matope
 
Aliunga juhudi siku nyingi akawa anahujumu ndani kwa ndani tangu enzi ya Mwendazake.
 
Msigwa kaanza kujiongeza toka enzi zile akiwa waziri kivuli wa utalii ila wanachadema humu walimtetea.
 
Back
Top Bottom