johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Fikiria jinsi Mchungaji Msigwa alivyoaminiwa na Chadema pamoja na Wanachama wote
Kumbe ni Fursa ya Vyeo na kupata Fedha ndio ilimuweka Chadema lakini hakuwa na Mapenzi yoyote na kile Chama
Mchungaji Msigwa alipokosa cheo na Fedha akajisalimisha Chama Dume faster
Na hii ndio Tabia ya wapinzani wote kasoro Maalim Seif tu
Ahsanteni Sana 😂
Kumbe ni Fursa ya Vyeo na kupata Fedha ndio ilimuweka Chadema lakini hakuwa na Mapenzi yoyote na kile Chama
Mchungaji Msigwa alipokosa cheo na Fedha akajisalimisha Chama Dume faster
Na hii ndio Tabia ya wapinzani wote kasoro Maalim Seif tu
Ahsanteni Sana 😂