Mchungaji Msigwa awe Katibu wa Itikadi na Uenezi na Makalla awe Makamu Mwenyekiti wa CCM

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kutokana na Kazi kubwa anayofanya mchungaji Msigwa Kwa ajili ya Chama na jinsi anavyopendwa na Wananchi ni vema Kamati Kuu ikamteua kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi.

Makalla arithi nafasi iliyo wazi ya Makamu mwenyekiti wa CCM.

Ahsanteni sana πŸ˜„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…