Ajiulize ni Wapi alipo Juliana Shonza ndio atakua hajui kuwa CCM wakimalizana na wewe wanakutupaDuuuh siasa mchezo wa ajabu sana
Namsikiliza mh msigwa hapa star TV
Anaulizwa ulisema uwezi hama chadema imekuwaje
Chadema sio dini
Anakwambia hakuna bonadamu asiebadilkaaaa
Hata Paulo alikuwa anaua watu wanaomshabikia Yesu lakini alipojielewa akaanza kutangaza neno la Mungu na kumsifu Yesu
Amen
Huyo Juliana bado ni mbunge ?Ajiulize ni Wapi alipo Juliana Shonza ndio atakua hajui kuwa CCM wakimalizana na wewe wanakutupa
Hivi yuko wapi Juliana Shonza siku hizi?Ajiulize ni Wapi alipo Juliana Shonza ndio atakua hajui kuwa CCM wakimalizana na wewe wanakutupa
Katupwa ghalani baada ya kandarasi kwishaHivi yuko wapi Juliana Shonza siku hizi?
Wafahamu watu watatu Tanzania wanaodaiwa BILLIONS kwa kosa la kuchafua watu bila ushahidi (Defamation)
1-Cyprian Musiba aliyakanyaga kwa Membe (2B)
2-Mwijaku Mwemba kwa Masoud Kipanya (5B)
3-Peter Msigwa kwa Mbowe,(5B)
Midomo iliponza kichwa πππ
Used and dustedHivi yuko wapi Juliana Shonza siku hizi?