Mchungaji Msigwa: Ukosoaji kwa Serikali kunaiua CHADEMA

Mchungaji Msigwa: Ukosoaji kwa Serikali kunaiua CHADEMA

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mchungaji Peter Msigwa aliyekihama Chama Cha Chadema hivi karibuni na kuhamia Chama Cha Mapinduzi CCM, wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa, akiwa mstari wa mbele kuipigia chapuo CCM huko mkoani Iringa, asubuhi hii amekuja na hoja binafsi wakati huu ambapo Kamati kuu ya Chadema inaketi kufanya tathimini ya Uchaguzi huo uliokuja na matokeo ambayo kimsingi hayatoi picha nzuri kuelekea hatma ya vyama pinzani kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

1732871770377.png

Mch. Msigwa katika hoja yake anaikumbusha Chadema kuwa huwezi kujenga Chama cha siasa bila kuwa na sera za wazi na zinazoeleweka kwa wafuasi wako na wale unaowashawishi kuwa wafuasi wako.

Anasema Ukosoaji sio sera ya Chama cha siasa kinachojitambua na bahati mbaya ukiegemea kwenye kukosoa pekee chama kilichopo madarakani, ipo siku vyama pinzani vitakosa ajenda za kukosoa kutoka kwenye Chama tawala na matokeo yake huo ndio utakuwa mwisho wa vyama hivyo.

Mch. Msigwa katika maelezo yake anahoji ni Watanzania wangapi wenye kufahamu Msimamo wa Chadema kwenye masuala ya Kikodi, Sera za kigeni, Sera za Ulinzi wa Taifa, uhamiaji, haki za wafanyakazi, mazingira na kadhalika. Mch. Msigwa anasema Chadema ile anayoifahamu inajulikana zaidi kwa umma kwa kile inachokipinga kuliko msingi wake.

Kadhalika Mch. Msigwa akizungumzia udhaifu mwingine wa Chadema na vyama pinzani kwa CCM anasema ili vyama viweze kufanikisha shughuli zake na kushinda katika chaguzi ni lazima vijipange kama taasisi na hususan katika ngazi za msingi kama ilivyo kwa Chama Cha Mapinduzi kwani huko ndipo kulipo na ushawishi mkubwa wa wanachama na Vyama hupata fursa ya kushughulikia kikamilifu matakwa ya wananchi kwa ukaribu.

Akikosoa namna ambavyo miundo mingi ya vyama vya siasa ilivyo nchini Tanzania isipokuwa kwa Chama Cha Mapinduzi, Mch. Msigwa anasema upo udhaifu mkubwa kwenye maeneo ya kichama ngazi ya wilaya, Majimbo, Vijiji na mitaa suala ambalo limedhorotesha ukuaji wa demokrasia shindani na hivyo kupelekea Chama Cha Mapinduzi kuonekana zaidi katika ngazi hizo za chini kupita vyama vingine vyote vilivyo na uimara ngazi ya kitaifa peke yake na hivyo kuwalemaza katika kuyafahamu vyema matakwa ya wananchi.
 
Takataka hili nalo! Vijitu vifupi kama shit ya subuhi shida sana
 
TAKATAKA.MAVI YAMEJAA KWNYE BRAIN YAKE.anajifanya haoni dhuluma walioyofanyiwa chadema
 
Takataka hili nalo! Vijitu vifupi kama shit ya subuhi shida sana
mjibu mtu kwa hoja kwamwe usimtusi mtu kwa sababu ya muonekano wake humu kwa sababu this is a home of great thinkers otherwise huyu Msigwa ni mpumbavu , tukifikiria katika jicho la kindoa , yaani miaka yote umeishi na mme (chadema) leo mmeachana umepata bwana mwingine ( ccm) una toa siri zote za ndani za mme aliye na wewe miaka na miaka akakuvisha na kukulisha, ukanona mpaka kijungu kikaonekana, unamuona hafai kabisa ila huyu ndio mzuri, tambua huyo mme mpya ( ccm) anakuchezea tu .
 
Mchungaji Peter Msigwa aliyekihama Chama Cha Chadema hivi karibuni na kuhamia Chama Cha Mapinduzi CCM, wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa, akiwa mstari wa mbele kuipigia chapuo CCM huko mkoani Iringa, asubuhi hii amekuja na hoja binafsi wakati huu ambapo Kamati kuu ya Chadema inaketi kufanya tathimini ya Uchaguzi huo uliokuja na matokeo ambayo kimsingi hayatoi picha nzuri kuelekea hatma ya vyama pinzani kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.
Mch. Msigwa katika hoja yake anaikumbusha Chadema kuwa huwezi kujenga Chama cha siasa bila kuwa na sera za wazi na zinazoeleweka kwa wafuasi wako na wale unaowashawishi kuwa wafuasi wako.

Anasema Ukosoaji sio sera ya Chama cha siasa kinachojitambua na bahati mbaya ukiegemea kwenye kukosoa pekee chama kilichopo madarakani, ipo siku vyama pinzani vitakosa ajenda za kukosoa kutoka kwenye Chama tawala na matokeo yake huo ndio utakuwa mwisho wa vyama hivyo.

Mch. Msigwa katika maelezo yake anahoji ni Watanzania wangapi wenye kufahamu Msimamo wa Chadema kwenye masuala ya Kikodi, Sera za kigeni, Sera za Ulinzi wa Taifa, uhamiaji, haki za wafanyakazi, mazingira na kadhalika. Mch. Msigwa anasema Chadema ile anayoifahamu inajulikana zaidi kwa umma kwa kile inachokipinga kuliko msingi wake.

Kadhalika Mch. Msigwa akizungumzia udhaifu mwingine wa Chadema na vyama pinzani kwa CCM anasema ili vyama viweze kufanikisha shughuli zake na kushinda katika chaguzi ni lazima vijipange kama taasisi na hususan katika ngazi za msingi kama ilivyo kwa Chama Cha Mapinduzi kwani huko ndipo kulipo na ushawishi mkubwa wa wanachama na Vyama hupata fursa ya kushughulikia kikamilifu matakwa ya wananchi kwa ukaribu.

Akikosoa namna ambavyo miundo mingi ya vyama vya siasa ilivyo nchini Tanzania isipokuwa kwa Chama Cha Mapinduzi, Mch. Msigwa anasema upo udhaifu mkubwa kwenye maeneo ya kichama ngazi ya wilaya, Majimbo, Vijiji na mitaa suala ambalo limedhorotesha ukuaji wa demokrasia shindani na hivyo kupelekea Chama Cha Mapinduzi kuonekana zaidi katika ngazi hizo za chini kupita vyama vingine vyote vilivyo na uimara ngazi ya kitaifa peke yake na hivyo kuwalemaza katika kuyafahamu vyema matakwa ya wananchi.
Kondoo zake wana tabu sana, hawaruhusiwi kumkosoa shetani.
 
Mchungaji Peter Msigwa aliyekihama Chama Cha Chadema hivi karibuni na kuhamia Chama Cha Mapinduzi CCM, wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa, akiwa mstari wa mbele kuipigia chapuo CCM huko mkoani Iringa, asubuhi hii amekuja na hoja binafsi wakati huu ambapo Kamati kuu ya Chadema inaketi kufanya tathimini ya Uchaguzi huo uliokuja na matokeo ambayo kimsingi hayatoi picha nzuri kuelekea hatma ya vyama pinzani kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.
Mch. Msigwa katika hoja yake anaikumbusha Chadema kuwa huwezi kujenga Chama cha siasa bila kuwa na sera za wazi na zinazoeleweka kwa wafuasi wako na wale unaowashawishi kuwa wafuasi wako.

Anasema Ukosoaji sio sera ya Chama cha siasa kinachojitambua na bahati mbaya ukiegemea kwenye kukosoa pekee chama kilichopo madarakani, ipo siku vyama pinzani vitakosa ajenda za kukosoa kutoka kwenye Chama tawala na matokeo yake huo ndio utakuwa mwisho wa vyama hivyo.

Mch. Msigwa katika maelezo yake anahoji ni Watanzania wangapi wenye kufahamu Msimamo wa Chadema kwenye masuala ya Kikodi, Sera za kigeni, Sera za Ulinzi wa Taifa, uhamiaji, haki za wafanyakazi, mazingira na kadhalika. Mch. Msigwa anasema Chadema ile anayoifahamu inajulikana zaidi kwa umma kwa kile inachokipinga kuliko msingi wake.

Kadhalika Mch. Msigwa akizungumzia udhaifu mwingine wa Chadema na vyama pinzani kwa CCM anasema ili vyama viweze kufanikisha shughuli zake na kushinda katika chaguzi ni lazima vijipange kama taasisi na hususan katika ngazi za msingi kama ilivyo kwa Chama Cha Mapinduzi kwani huko ndipo kulipo na ushawishi mkubwa wa wanachama na Vyama hupata fursa ya kushughulikia kikamilifu matakwa ya wananchi kwa ukaribu.

Akikosoa namna ambavyo miundo mingi ya vyama vya siasa ilivyo nchini Tanzania isipokuwa kwa Chama Cha Mapinduzi, Mch. Msigwa anasema upo udhaifu mkubwa kwenye maeneo ya kichama ngazi ya wilaya, Majimbo, Vijiji na mitaa suala ambalo limedhorotesha ukuaji wa demokrasia shindani na hivyo kupelekea Chama Cha Mapinduzi kuonekana zaidi katika ngazi hizo za chini kupita vyama vingine vyote vilivyo na uimara ngazi ya kitaifa peke yake na hivyo kuwalemaza katika kuyafahamu vyema matakwa ya wananchi.
aligombea kuwa mwenyekiti wa kijiji gani
 
Yupo ccm ila chadema haimkauki mdomoni.

Kiroho ukiona unatamka na kuwaza sana kitu ujue kimekufunga kiroho na kimwili.
Msigwa bado haamini kama amehamia ccm. Anajiona bado yuko chadema.

Kama amehama hana sababu ya kiitakia mema chadema au kutaka iwe bora ili iweze kuishinda ccm. Ukiona anatoa ushauri kama huu ujue ameelemewa na unafiki na roho inamsuta
 
M
Mchungaji Peter Msigwa aliyekihama Chama Cha Chadema hivi karibuni na kuhamia Chama Cha Mapinduzi CCM, wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa, akiwa mstari wa mbele kuipigia chapuo CCM huko mkoani Iringa, asubuhi hii amekuja na hoja binafsi wakati huu ambapo Kamati kuu ya Chadema inaketi kufanya tathimini ya Uchaguzi huo uliokuja na matokeo ambayo kimsingi hayatoi picha nzuri kuelekea hatma ya vyama pinzani kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.
Mch. Msigwa katika hoja yake anaikumbusha Chadema kuwa huwezi kujenga Chama cha siasa bila kuwa na sera za wazi na zinazoeleweka kwa wafuasi wako na wale unaowashawishi kuwa wafuasi wako.

Anasema Ukosoaji sio sera ya Chama cha siasa kinachojitambua na bahati mbaya ukiegemea kwenye kukosoa pekee chama kilichopo madarakani, ipo siku vyama pinzani vitakosa ajenda za kukosoa kutoka kwenye Chama tawala na matokeo yake huo ndio utakuwa mwisho wa vyama hivyo.

Mch. Msigwa katika maelezo yake anahoji ni Watanzania wangapi wenye kufahamu Msimamo wa Chadema kwenye masuala ya Kikodi, Sera za kigeni, Sera za Ulinzi wa Taifa, uhamiaji, haki za wafanyakazi, mazingira na kadhalika. Mch. Msigwa anasema Chadema ile anayoifahamu inajulikana zaidi kwa umma kwa kile inachokipinga kuliko msingi wake.

Kadhalika Mch. Msigwa akizungumzia udhaifu mwingine wa Chadema na vyama pinzani kwa CCM anasema ili vyama viweze kufanikisha shughuli zake na kushinda katika chaguzi ni lazima vijipange kama taasisi na hususan katika ngazi za msingi kama ilivyo kwa Chama Cha Mapinduzi kwani huko ndipo kulipo na ushawishi mkubwa wa wanachama na Vyama hupata fursa ya kushughulikia kikamilifu matakwa ya wananchi kwa ukaribu.

Akikosoa namna ambavyo miundo mingi ya vyama vya siasa ilivyo nchini Tanzania isipokuwa kwa Chama Cha Mapinduzi, Mch. Msigwa anasema upo udhaifu mkubwa kwenye maeneo ya kichama ngazi ya wilaya, Majimbo, Vijiji na mitaa suala ambalo limedhorotesha ukuaji wa demokrasia shindani na hivyo kupelekea Chama Cha Mapinduzi kuonekana zaidi katika ngazi hizo za chini kupita vyama vingine vyote vilivyo na uimara ngazi ya kitaifa peke yake na hivyo kuwalemaza katika kuyafahamu vyema matakwa ya wananchi.
Msigwa ni Mpuuzi Fulani hivi! Kinachoua cdm ni upuuzi wa maccm waliofanya na unyama wa hovyo sana!
 
MSIGWA asilaumiwe maana anasaka ulaji wa watoto wake amechoka ukata na wengi wapo njiani wa aina yake kuelekea 2025.
 
Takataka hili nalo! Vijitu vifupi kama shit ya subuhi shida sana
mjibu mtu kwa hoja kwamwe usimtusi mtu kwa sababu ya muonekano wake humu ,kwa sababu this is a home of great thinkers otherwise huyu Msigwa ni mpumbavu , tukifikiria katika jicho la kindoa , yaani miaka yote umeishi na mme (chadema) leo mmeachana umepata bwana mwingine ( ccm) una toa siri zote za ndani za mme aliye ishi na wewe miaka na miaka huku akikuvisha na kukulisha, ukanona mpaka nuru ikaonekana mwilini mwako unamuona hafai kabisa ila huyu wa sasa ( ccm) ndio mzuri, hii sio vyema kabisa.
 
Back
Top Bottom