Pre GE2025 Mchungaji Msigwa umemsikia Nape Nauye?

Pre GE2025 Mchungaji Msigwa umemsikia Nape Nauye?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

lusohoko

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2024
Posts
800
Reaction score
696
Hakika Msigwa, naamini unafuatilia mitandao ya kijamii ili kujua mambo yanavyoendelea duniani. Nimeona na kusikia Nape akielezea mambo yanayofanywa na chama chako pendwa, CCM. Najua kwamba Roho wa Mungu bado haujatoka kabisa moyoni mwako, huenda bado masalia ya hofu ya Mungu yapo.

Swali langu ni, ni dawa gani uliyotoka nayo huko ulikotoka ambayo inaweza kutibu suala alilosema Nape? Ingawa Makalla, anayejulikana kama AMOS, Roho wa Mungu alishatoka kabisa kwake, anajaribu kuuficha ukweli. Wakati huo, Nape, ambaye ni Senior kwenye uenezi, ameeleza wanachofanya!

Nakumbuka uliwahi kusema kwamba CCM ni wezi wa kura, kama haukutamka kwa kinywa chako basi angalau uliunga mkono. Na sasa umeenda kushiriki katika wizi huo, huku ukijua ni dhambi. Moyo wako unasemaje, je, uko kwenye njia sahihi?

Kama ningekuwa mimi Msigwa, ningeachana na siasa, maana CCM hakukaliki. Ndiko kulikojaa nilichokuwa nikitangaza kukikataa: rushwa, wizi wa kura, na mengineyo. Chadema, hata hivyo, haturudiki! Tufanyeje Msigwa, tukomae hivyo hivyo? Ila nafsi inatusuta!
 
Swali langu ni, ni dawa gani uliyotoka nayo huko ulikotoka ambayo inaweza kutibu suala alilosema Nape? Ingawa Makalla, anayejulikana kama AMOS, Roho wa Mungu alishatoka kabisa kwake, anajaribu kuuficha ukweli. Wakati huo, Nape, ambaye ni Senior kwenye uenezi, ameeleza wanachofanya!
Nape ni Shujaa....ameusema ukweli kama ulivyo bila kupepesa macho.
 
Msigwa kama bado anaendelea kujinasibu kuwa ni mtumishi wa Mungu kwa nafasi ya Uchungaji ningemuomba ampigie magoti Mungu wake kutubu na kuachana na kufuru hii anayofanya itakayo angamiza uzao wake. Unazungumzia haki katika muktaadha wa dini lakini katika siasa unawapotosha tena watu kwa kunasibu wezi, mafisadi na wauaji? Hiyo ni dhambi kubwa na Mungu atakiandikia kizazi chako laana!
 
Msigwa kama bado anaendelea kujinasibu kuwa ni mtumishi wa Mungu kwa nafasi ya Uchungaji ningemuomba ampigie magoti Mungu wake kutubu na kuachana na kufuru hii anayofanya itakayo angamiza uzao wake. Unazungumzia haki katika muktaadha wa dini lakini katika siasa unawapotosha tena watu kwa kunasibu wezi, mafisadi na wauaji? Hiyo ni dhambi kubwa na Mungu atakiandikia kizazi chako laana!
Ukisha join siasa you are no longer mtumishi wa Mungu. As siasa ina recommend kuto kuwa mkweli just tu uweze ku retain cheo. Ni against uchungaji
 
Hakika Msigwa, naamini unafuatilia mitandao ya kijamii ili kujua mambo yanavyoendelea duniani. Nimeona na kusikia Nape akielezea mambo yanayofanywa na chama chako pendwa, CCM. Najua kwamba Roho wa Mungu bado haujatoka kabisa moyoni mwako, huenda bado masalia ya hofu ya Mungu yapo.

Swali langu ni, ni dawa gani uliyotoka nayo huko ulikotoka ambayo inaweza kutibu suala alilosema Nape? Ingawa Makalla, anayejulikana kama AMOS, Roho wa Mungu alishatoka kabisa kwake, anajaribu kuuficha ukweli. Wakati huo, Nape, ambaye ni Senior kwenye uenezi, ameeleza wanachofanya!

Nakumbuka uliwahi kusema kwamba CCM ni wezi wa kura, kama haukutamka kwa kinywa chako basi angalau uliunga mkono. Na sasa umeenda kushiriki katika wizi huo, huku ukijua ni dhambi. Moyo wako unasemaje, je, uko kwenye njia sahihi?

Kama ningekuwa mimi Msigwa, ningeachana na siasa, maana CCM hakukaliki. Ndiko kulikojaa nilichokuwa nikitangaza kukikataa: rushwa, wizi wa kura, na mengineyo. Chadema, hata hivyo, haturudiki! Tufanyeje Msigwa, tukomae hivyo hivyo? Ila nafsi inatusuta!
Umenikumbusha golli la mkono
 
Hakika Msigwa, naamini unafuatilia mitandao ya kijamii ili kujua mambo yanavyoendelea duniani. Nimeona na kusikia Nape akielezea mambo yanayofanywa na chama chako pendwa, CCM. Najua kwamba Roho wa Mungu bado haujatoka kabisa moyoni mwako, huenda bado masalia ya hofu ya Mungu yapo.

Swali langu ni, ni dawa gani uliyotoka nayo huko ulikotoka ambayo inaweza kutibu suala alilosema Nape? Ingawa Makalla, anayejulikana kama AMOS, Roho wa Mungu alishatoka kabisa kwake, anajaribu kuuficha ukweli. Wakati huo, Nape, ambaye ni Senior kwenye uenezi, ameeleza wanachofanya!

Nakumbuka uliwahi kusema kwamba CCM ni wezi wa kura, kama haukutamka kwa kinywa chako basi angalau uliunga mkono. Na sasa umeenda kushiriki katika wizi huo, huku ukijua ni dhambi. Moyo wako unasemaje, je, uko kwenye njia sahihi?

Kama ningekuwa mimi Msigwa, ningeachana na siasa, maana CCM hakukaliki. Ndiko kulikojaa nilichokuwa nikitangaza kukikataa: rushwa, wizi wa kura, na mengineyo. Chadema, hata hivyo, haturudiki! Tufanyeje Msigwa, tukomae hivyo hivyo? Ila nafsi inatusuta!
Amegota, Hachomoki, nafsi itamsuta hadi kaburini kwa Pilato...
 
Back
Top Bottom