the guardian 17
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 395
- 570
Wameanza kugeukana....na badoMchungaji msigwa alipokuwa akihojiwa na Ebony FM aliulizwa kama bado anawachukia machawa na majibu yake yalikuwa hivi.
HahahaKwahiyo yeye anajitofautisha na chawa wengine kua yeye ni chawa mwenye facts au tumueleweje??
Chawa ni chawa tu
Maana hawa chawa wenye facts mbona wanatambulika na wapo kitambo tu, akina Kafulila..yule ninchawa mwenye facts sasa msigwa asidhan yeye atakua wa kwanzaHahaha
Mchungaji msigwa alipokuwa akihojiwa na Ebony FM aliulizwa kama bado anawachukia machawa na majibu yake yalikuwa hivi.
Chawa wanashindana kupata endorsement ya mazaMaana hawa chawa wenye facts mbona wanatambulika na wapo kitambo tu, akina Kafulila..yule ninchawa mwenye facts sasa msigwa asidhan yeye atakua wa kwanza
Lengo apendwe na mazaKwahiyo yeye anajitofautisha na chawa wengine kua yeye ni chawa mwenye facts au tumueleweje??
Chawa ni chawa tu
Kazi kwel kwelChawa wanashindana kupata endorsement ya maza
Ni wazee lakini ni wapumbavu snKazi kwel kwel
WanasikitishaaNi wazee lakini ni wapumbavu sn