Pre GE2025 Mchungaji Msigwa usiwaone Watanzania kama wajinga

Pre GE2025 Mchungaji Msigwa usiwaone Watanzania kama wajinga

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mushkov

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2024
Posts
357
Reaction score
686
Msigwa tangu ahame CHADEMA na kukimbilia CCM amekuwa akitoa sababu za kitoto sana za yeye kuhama chama(CHADEMA) na kuhamia CCM.

Zaidi sana amekuwa akimtuhumu Mwenyekiti wa CHADEMA, Mbowe kwa tuhuma nyingi.

Binafsi naona huo ni utoto kwa sababu kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kukimbia chumba "A" kinachonuka na kukimbilia chumba "B" kinachonuka vile vile kisha anaanza kuwashambulia waliobaki chumba A. Issue si chumba bali ni usalama wa kile chumba.

Binafsi ningempongeza sana mh. Msigwa kama angeachana na CHADEMA na ama kuanzisha chama chake cha siasa au kubaki bila chama.
 
Mchungaji Msigwa wakati fulani anatakiwa kujifunza kushukuru. Maana huyo Mbowe anaye mnanga, alimtoa jalalani huko. Hivyo asinyee kambi. Akumbuke kuna leo na kesho!

Halafu kitu kingine cha kujiuliza; je, kama angetetea ile nafasi yake ya Uenyekiti wa Kanda, bado angehamia ccm?
 
Kuwasikiliza "wachungaji" kama Msigwa ni kumaliza calories za bure. Kiufupi kusikiliza wanasiasa ni kupoteza muda..... hakuna mtu anataka kura akatetee maslahi yako.

Viongozi wanaogombea wengi ni egotistical,wanaamini wao ndio wenye uwezo wa kuwaongoza.na watu kama hao ni rahisi kugombana nao. Sasa imagine kwenye chama cha siasa wako wangapi?

Mtu kama Msigwa i can say with certainity say, his ego was scarred when he lost the election to Sugu..and the only way politicians gain their ego back is either to win another election or get a position in power once more. Who do you think guarantees that for him?
 
Mh. Msigwa tangu ahame CHADEMA na kukimbilia CCM amekuwa akitoa sababu za kitoto sana za yeye kuhama chama(CHADEMA) na kuhamia CCM...
Of course Mbowe ni tatizo Sugu!

Lakini jitahidini kutomjadili huyo mjinga Msigwa!! Mnapomjadili mnampa kiki Bure.

Mpotezeeni
 
Abaki bila chama halafu akale wapi?

Hiyo hamahama ni dhahiri ipo kimaslahi binafsi.

Sidhani kama ni yeye ati kwa kupenda jinsi Samia anavyoendesha nchi bali ni muamala unesoma na kahakikishiwa ulinzi wa kifedha na cheo.
 
Anabwabwaja hadi mishipa ya damu inamtoka.akichoka atatulia mwenyewe alafu atajiona mjinga.
 
Mchungaji Msigwa wakati fulani anatakiwa kujifunza kushukuru. Maana huyo Mbowe anaye mnanga, alimtoa jalalani huko. Hivyo asinyee kambi. Akumbuke kuna leo na kesho!

Halafu kitu kingine cha kujiuliza; je, kama angetetea ile nafasi yake ya Uenyekiti wa Kanda, bado angehamia ccm?
Ni miongoni mwa machawa wa CCM walikokuwa Chadema wameona wamekosa nafasi za juu za chama kwa ajili ya kupeleka taarifa CCM wamehamua kurudi CCM.
 
Msigwa tangu ahame CHADEMA na kukimbilia CCM amekuwa akitoa sababu za kitoto sana za yeye kuhama chama(CHADEMA) na kuhamia CCM.

Zaidi sana amekuwa akimtuhumu Mwenyekiti wa CHADEMA, Mbowe kwa tuhuma nyingi.

Binafsi naona huo ni utoto kwa sababu kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kukimbia chumba "A" kinachonuka na kukimbilia chumba "B" kinachonuka vile vile kisha anaanza kuwashambulia waliobaki chumba A. Issue si chumba bali ni usalama wa kile chumba.

Binafsi ningempongeza sana mh. Msigwa kama angeachana na CHADEMA na ama kuanzisha chama chake cha siasa au kubaki bila chama.
Ukweli mchungu ni kwamba watanzania wengi ni wajinga,wenye ufaham finyu na rahisi kudanganywa na wanasiasa,Tz ni taifa dhaifu na maskini kwa sbb bdo wajinga ni wengi sn,wapo ht wasomi wa chuo lkn ni wajinga
 
Msigwa tangu ahame CHADEMA na kukimbilia CCM amekuwa akitoa sababu za kitoto sana za yeye kuhama chama(CHADEMA) na kuhamia CCM.

Zaidi sana amekuwa akimtuhumu Mwenyekiti wa CHADEMA, Mbowe kwa tuhuma nyingi.

Binafsi naona huo ni utoto kwa sababu kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kukimbia chumba "A" kinachonuka na kukimbilia chumba "B" kinachonuka vile vile kisha anaanza kuwashambulia waliobaki chumba A. Issue si chumba bali ni usalama wa kile chumba.

Binafsi ningempongeza sana mh. Msigwa kama angeachana na CHADEMA na ama kuanzisha chama chake cha siasa au kubaki bila chama.
Kwanza amechokwa mapema mno wa hadithi zilezile. Bora hata akina Halima kunyamaza kwao kunawainua
 
Kwanza amechokwa mapema mno wa hadithi zilezile. Bora hata akina Halima kunyamaza kwao kunawainua

Msigwa tamaa ya madaraka na pesa vimemfanya awe bwege wa akili. Anabwabawaja upuuzi unaozidi kushusha hadhi yake, lakini kwa kuwa akili yake imepumbazwa tamaa ya kuoita kiasi, yeye anaona kwa huo upuuzi unaoubwabwaja, anapandisha hadhi yake.

Msigwa sasa ni wa kuonewa huruma kama tunavyoonea huruma wagonjwa wote wa akili, japo ugonjwa wake ni wa kujitakia.

Tumeambiwa tufanye kila kitu kwa kiasi:

Ukipenda kupita kiasi, ukikataliwa, unaweza kuishia kujinyonga.

Ukipenda utajiri kupita kiasi, kama ni mwanaume, unaweza kuishia kuwa jambazi. Kama ni mwanamke unaweza kuishia kuwa kahaba.

Ukipenda madaraka kupita kiasi unaweza kuishia kuwa haramia la kisiasa, unaweza kuwaua hata wapinzani wako, unaweza hata kuua utu wako ukabakia kuwa kama alivyo Msigwa kwa sasa.

Kila kitu kwa kiasi, hapo hutapungukiwa hekima.
 
Msigwa tangu ahame CHADEMA na kukimbilia CCM amekuwa akitoa sababu za kitoto sana za yeye kuhama chama(CHADEMA) na kuhamia CCM.

Zaidi sana amekuwa akimtuhumu Mwenyekiti wa CHADEMA, Mbowe kwa tuhuma nyingi.

Binafsi naona huo ni utoto kwa sababu kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kukimbia chumba "A" kinachonuka na kukimbilia chumba "B" kinachonuka vile vile kisha anaanza kuwashambulia waliobaki chumba A. Issue si chumba bali ni usalama wa kile chumba.

Binafsi ningempongeza sana mh. Msigwa kama angeachana na CHADEMA na ama kuanzisha chama chake cha siasa au kubaki bila chama.
Ana tabia za kike asichokijua hata hao CCM wenyewe wanam zoom tu kwenye side mirror.
 
Back
Top Bottom