Mchungaji Msigwa usoni hafanani na CCM, hatumwoni kama mwenzetu

Mchungaji Msigwa usoni hafanani na CCM, hatumwoni kama mwenzetu

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Mwanasiasa mkongwe aliyehamia kwenye Chama chetu CCM kutoka CHADEMA hatumwoni kama mwenzetu. Kila akiongea namwona kama hajajua miiko, mtoto unajaa mate, anaropoka tu.

Alivokuwa CHADEMA alikuwa mtu mahiri nondo kweli ila Sasa yupo kama dishi linayumba au amekata tamaa, Makoti hayamtoshi, sare ya CCM haimpendezi, akiongea hasikiki kama anaropoka tu.

Hata anavowapa CHADEMA unaona kabisa ni kama haimtoki moyoni, au anawasingizia ili atimize tamaa zake za kuteuliwa au kupewa jimbo agombee ya yupo yupo tu.

Kwani mtu akihama Chama hadi uwaseme vibaya, matusi mazito.

Sisi watu majini tunamdharau yaani watu umeishi nao miaka 20 halafu unakuja kutudhihirisha kuwa hawakuwa na jema lolote kwako.

Kwani ulisema nimehamia CCM Kuna sera nzuri ila nawashakuru CHADEMA walionilea na kunikomaza kisiasa kuliko kuwapaka kashfa na matusi tu.
 
Hebu mwambie Trump alikuwa democrats Sasa ni Republican na Mgombea sijamsikie akiisiba democrats, Lowasa alikuwa CCM akawa CHADEMA na hatimaye ccm hatukumsikia akiisiba ccm Wala CHADEMA na mpaka umauti ccm alikuwa maarufu na CHADEMA alikuwa maarufu, tujifinze siasa si jambo binafsi na si uadui🧱🔧
 
Hebu mwambie Trump alikuwa democrats Sasa ni Republican na Mgombea sijamsikie akiisiba democrats,Lowasa alikuwa ccm akawa CHADEMA na hatimaye ccm hatukumsikia akiisiba ccm Wala CHADEMA na mpaka umauti ccm alikuwa maarufu na CHADEMA alikuwa maarufu,tujifinze siasa si jambo binafsi na si uadui🧱🔧
Kweli kabisa mkuu
 
Hebu mwambie Trump alikuwa democrats Sasa ni Republican na Mgombea sijamsikie akiisiba democrats, Lowasa alikuwa CCM akawa CHADEMA na hatimaye ccm hatukumsikia akiisiba ccm Wala CHADEMA na mpaka umauti ccm alikuwa maarufu na CHADEMA alikuwa maarufu, tujifinze siasa si jambo binafsi na si uadui[emoji3464][emoji373]
Mtu mchafu na dhaifu anakua na siasa chafu na dhaifu.
Kama watu wakiamua kuweka mapungufu ya Msigwa hadharani, atajifungia chooni
 
Mwanasiasa mkongwe aliyehamia kwenye Chama chetu CCM kutoka CHADEMA hatumwoni kama mwenzetu. Kila akiongea namwona kama hajajua miiko, mtoto unajaa mate, anaropoka tu.

Alivokuwa CHADEMA alikuwa mtu mahiri nondo kweli ila Sasa yupo kama dishi linayumba au amekata tamaa, Makoti hayamtoshi, sare ya CCM haimpendezi, akiongea hasikiki kama anaropoka tu.

Hata anavowapa CHADEMA unaona kabisa ni kama haimtoki moyoni, au anawasingizia ili atimize tamaa zake za kuteuliwa au kupewa jimbo agombee ya yupo yupo tu.

Kwani mtu akihama Chama hadi uwaseme vibaya, matusi mazito.

Sisi watu majini tunamdharau yaani watu umeishi nao miaka 20 halafu unakuja kutudhihirisha kuwa hawakuwa na jema lolote kwako.

Kwani ulisema nimehamia CCM Kuna sera nzuri ila nawashakuru CHADEMA walionilea na kunikomaza kisiasa kuliko kuwapaka kashfa na matusi tu.
Naonea huruma mabinti zake, Jamaa kauza utu, tabia aliyosema Nyerere, sishangai ikaingia kwenye familia yake.
Mwanajeshi kakimbia vita.
 
Mwanasiasa mkongwe aliyehamia kwenye Chama chetu CCM kutoka CHADEMA hatumwoni kama mwenzetu. Kila akiongea namwona kama hajajua miiko, mtoto unajaa mate, anaropoka tu.

Alivokuwa CHADEMA alikuwa mtu mahiri nondo kweli ila Sasa yupo kama dishi linayumba au amekata tamaa, Makoti hayamtoshi, sare ya CCM haimpendezi, akiongea hasikiki kama anaropoka tu.

Hata anavowapa CHADEMA unaona kabisa ni kama haimtoki moyoni, au anawasingizia ili atimize tamaa zake za kuteuliwa au kupewa jimbo agombee ya yupo yupo tu.

Kwani mtu akihama Chama hadi uwaseme vibaya, matusi mazito.

Sisi watu majini tunamdharau yaani watu umeishi nao miaka 20 halafu unakuja kutudhihirisha kuwa hawakuwa na jema lolote kwako.

Kwani ulisema nimehamia CCM Kuna sera nzuri ila nawashakuru CHADEMA walionilea na kunikomaza kisiasa kuliko kuwapaka kashfa na matusi tu.
alafu akili kama zimeondolowe maana haeleweki anaongea nini?
utazani wale komba wa minazini wakilewa usiku wanapiga kelele
 
Mwanasiasa mkongwe aliyehamia kwenye Chama chetu CCM kutoka CHADEMA hatumwoni kama mwenzetu. Kila akiongea namwona kama hajajua miiko, mtoto unajaa mate, anaropoka tu.

Alivokuwa CHADEMA alikuwa mtu mahiri nondo kweli ila Sasa yupo kama dishi linayumba au amekata tamaa, Makoti hayamtoshi, sare ya CCM haimpendezi, akiongea hasikiki kama anaropoka tu.

Hata anavowapa CHADEMA unaona kabisa ni kama haimtoki moyoni, au anawasingizia ili atimize tamaa zake za kuteuliwa au kupewa jimbo agombee ya yupo yupo tu.

Kwani mtu akihama Chama hadi uwaseme vibaya, matusi mazito.

Sisi watu majini tunamdharau yaani watu umeishi nao miaka 20 halafu unakuja kutudhihirisha kuwa hawakuwa na jema lolote kwako.

Kwani ulisema nimehamia CCM Kuna sera nzuri ila nawashakuru CHADEMA walionilea na kunikomaza kisiasa kuliko kuwapaka kashfa na matusi tu.
Yani kwakweli tangu uhuru,CHADEMA imeiharibu sana nchi hii....nchi iko HOHEHAHE kwa sababu ya CHADEMA.
 
Yani kwakweli tangu uhuru,CHADEMA imeiharibu sana nchi hii....nchi iko HOHEHAHE kwa sababu ya CHADEMA.
Yule "U-pendo Penyeza" kama ana kavulana kanakohemea pale katakuwa kanapata shida maana dada hajui kuficha siri na hana kumbukumbu. Mnweza kuwa kitandani ukashangaa anakutajia namna jamaa wake wa ofisini alivyomfanya kwenye siti ya nyuma ya Prado yake.


Mishangazi bhana!
 
Mwanasiasa mkongwe aliyehamia kwenye Chama chetu CCM kutoka CHADEMA hatumwoni kama mwenzetu. Kila akiongea namwona kama hajajua miiko, mtoto unajaa mate, anaropoka tu.

Alivokuwa CHADEMA alikuwa mtu mahiri nondo kweli ila Sasa yupo kama dishi linayumba au amekata tamaa, Makoti hayamtoshi, sare ya CCM haimpendezi, akiongea hasikiki kama anaropoka tu.

Hata anavowapa CHADEMA unaona kabisa ni kama haimtoki moyoni, au anawasingizia ili atimize tamaa zake za kuteuliwa au kupewa jimbo agombee ya yupo yupo tu.

Kwani mtu akihama Chama hadi uwaseme vibaya, matusi mazito.

Sisi watu majini tunamdharau yaani watu umeishi nao miaka 20 halafu unakuja kutudhihirisha kuwa hawakuwa na jema lolote kwako.

Kwani ulisema nimehamia CCM Kuna sera nzuri ila nawashakuru CHADEMA walionilea na kunikomaza kisiasa kuliko kuwapaka kashfa na matusi tu.
Msigwa kama Pogba tu
 
Kachelewa kupiga hesabu, heri angechukua ule uwaziri wa jiwe na mapesa.....

Wrong target, atafute shamba mapema awe tu Ally Happy Msigwa.
Hakika, akina Msigwa na Gekula na Wasaliti wacheche wameshindwa kujifunza kwa kina Gekul, Katambi na wengineo?
Kipindi ya Jiwe hawa wote wangekula teuzi .
 
Back
Top Bottom