Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 96
Mtikila anazeeka vibaya wakubwa!alikua anataka kuwavuta watu wa media sana sana,ili walau wananchi tujue NA JAMAA NAE YUPO!tehe tehe tehe tik.
TUMEMSHTUKIA HUYU MZEE!ni vema akaonyeshwa MLANGO WA KUTOKEA.siasa za kizazi hichi naona HAZIMFAI TENA.aungane na wazee wenzie wastaafu kupumzika
ambapo alijibu kuwa mnamo Februari 16 akiwa nchini Zimbabwe alivamiwa ndani na Joka kubwa aina ya Kobra ambalo lilimgata mguu, lakini hakuweza kupata matibabu kwa siku tatu ingawa alikuwa anakesha na kuomba.
Ni kwanini mnakuwa na imani haba? Yeye aliomba sumu kali ya nyoka SWILA isiwe na madhara juu yake, tatizo liko wapi?
Tatizo sio ukuu wa nguvu za mungu, bali usanii uliotukuka wa Rev. Mtikila. Sio rahisi kuamini hii story yake kabisa. Ni mjanja mjanja kupita kiasi
Msikitini mnazungumza habari za mtume muhamad kuoa mtoto wa miaka sita.
msikitini kutakuwa na vituko zaidi kama maustadhini wenu wataamua kuwapa hadithi zote za mtume wenu feki.