Pre GE2025 Mchungaji ndio alimpeleka Abdul kwa Makamu?

Pre GE2025 Mchungaji ndio alimpeleka Abdul kwa Makamu?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Kipindi kile kabla kidogo na baada ya uchaguzi wa kanda ya Nyasa Msigwa alijinasibisha na Lissu kila mahali alipokuwa .. Ni kipindi ambapo Msigwa alikuwa keshafika bei na kupokea advance! Na ni kipindi ambacho alikuwa anamtafutia Lissu timing ili amsomeshe.

Haijulikani ni lini hasa Msigwa na dalali wake walimvaa Lissu lakini kwa tahadhari ile aliyoitoa Lissu akiwa kwenye mkutano wao hadhara Pale Singida kuhusu pesa chafu kwenye chaguzi za CHADEMA ni wazi ilikuwa ni kipindi hicho na mhusika mkuu alikuwa pasta mchungwaji.

Pasta mchungwaji na dalali wake ni wazi walikuwa na list ndefu ya viongozi waliokwisha pokea mlungula lakini ni wazi hiyo list haikuwa genuine na pasta naye alikuwa kaingizwa cha jiji.

Ni kwavile tu hatukuwa makini kumwangalia mchungwji siku ile Lissu anaongea kuhusu pesa chafu lakini mlengwa alipata taharuki kwa vyovyote

Baada ya uchaguzi pasta mchungwaji alipigwa chini na ndipo alipozidi kumganda Lissu.. Lissu akimkataa mazima na kuondoka zake Manyara then mapumzikoni Ubelgiji.

Hivi anavyohangaika sasa Msigwa ni kutokana na mambo mawili makubwa
1. Kupigwa chini kwenye uchaguzi
2. Kushindwa kumshawishi Lissu apokee rushwa
Kuna mengine madogodogo lakini hayo ndio makubwa
 
Hii haiwezi kuwa sawa maana alianza kulalamika kuhusu Rushwa aliyopewa Sugu na Mama Abdul ili wamuangushe Msigwa. Lissu akiwa Iringa alipigania sana hili. Sasa iweje Msigwa ndiye awe beneti na Abdul ili ampelekee hela Tundu Lissu. Story yako inakosa wanunuzi
 
Lissu amseme HADHARANI huyo Mtu aliyempeleka Abdul kwake kwa lengo la kwenda kumhonga.
Ni Msigwa ila muda wa kumtaja haujatimia
Hii haiwezi kuwa sawa maana alianza kulalamika kuhusu Rushwa aliyopewa Sugu na Mama Abdul ili wamuangushe Msigwa. Lissu akiwa Iringa alipigania sana hili. Sasa iweje Msigwa ndiye awe beneti na Abdul ili ampelekee hela Tundu Lissu. Story yako inakosa wanunuzi
Tuupe muda wakati
 
Kipindi kile kabla kidogo na baada ya uchaguzi wa kanda ya Nyasa Msigwa alijinasibisha na Lissu kila mahali alipokuwa .. Ni kipindi ambapo Msigwa alikuwa keshafika bei na kupokea advance! Na ni kipindi ambacho alikuwa anamtafutia Lissu timing ili amsomeshe....
Mengi ni ya kudhaniwa!
 
Kuna clip nimeiona Leo,Lissu alisema aliletewa rushwa na Abdul akaikataa. Amesema yeye anamwita mama Abdul,hawezi kumuita mama. Kwani hata yeye ana mama yake.
Lissu is right! We are not obligated to call our President “Mother” every citizen has his/her mother….! Will be no crime to call her Samia Suluhu Hassan
 
CHADEMA Mtakomaa lini kisiasa?

Mpaka Leo mnaish kwa kuviziana Tu.


Hiv Ajenda zenu za kuwapeleka Ikulu ni zipi?

Zaid ya miaka 20 sasa mnaamin mwenye uwezo wa kuongoza chama ni Mbowe Tu?

Kweli Kama imeshindikana kupata mtu mwingine wa kuongoza chama inakuaje mnataka mtoe mtu wa kuongoza nchi?
 
Back
Top Bottom