TANZIA Mchungaji Owdencalm Mpayo afariki dunia

Hilo jina alipewa na wazazi wake na hajawahi kulibadilisha.
Poleni sana wana Mbeya. Pole sana familia ya Moravian.

Mchungaji Mpayo hilo jina la kwanza alibadilisha ukubwani??? Kuna yule askofu mstaafu wa KKKT Iringa alipoenda Ujerumani akarudi na jina jipya la Owdenberg Mdegela.
 
Pumzika kwa amani mtumishi wa Mungu!! Tumefurahia sana sinema tulipokuwa watoto!! Poleni wana familia na kanisa kwa ujumla
 
Kifo ni funzo kwa walio hai ajabu mtu anatesa wenzake,anauwa watu kwa ajili ya tumbo Hali you marehemu mtarajiwa
 
Poleni sana wana Mbeya. Pole sana familia ya Moravian.

Mchungaji Mpayo hilo jina la kwanza alibadilisha ukubwani??? Kuna yule askofu mstaafu wa KKKT Iringa alipoenda Ujerumani akarudi na jina jipya la Owdenberg Mdegela.
Mwanzoni aliitwa nani?
 
Poleni sana wafiwa. Mungu awape faraja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…