Mchungaji Pascal Kakola yupo vizur kwenye mahubiri

Mchungaji Pascal Kakola yupo vizur kwenye mahubiri

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,340
Reaction score
4,659
Mimi muslim, najivunia sana imani yangu na sina mpango wa kubadili dini ila huwa napenda kuangalia mafundisho ya kujifunza mambo kuhusu maisha.

Nikakutana na video za Mchungaji Pascal aisee, jamaa yupo vizuri. Siyo mtu wa upako ila ni mlokole anaejielewa.

Unaweza kumtafuta kwa yeyote anayejihisi amekata tamaa ya maisha.
 
Okoka sasa na usiitwe gaidi mkuu.
Njoo kwa Yesu, mwalike na dadangu mzuri FaizaFoxy
Na kijana aliyeitumikia Hamas kwa uaminifu si mwingine ni Malaria 2
hapana ,mahubiri yake anaweza sikilza muumini yeyote hhvyo hayawez kuniamisha imani...rejea surat kafirun. Kafirun:2
 
Back
Top Bottom