Mchungaji Paul Mackenzie -Shakahola!

Mchungaji Paul Mackenzie -Shakahola!

Hassanjk

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2023
Posts
333
Reaction score
689
Nimemkumbuka huyu Mchungaji aliyeweza kufundisha mafundisho yaliyopelekea wafuasi wake wa kukaribia 1000 kujiua/kuuwawa hapo Kenya mwaka jana
Hii inafafa na Mchungaji Kibwetere wa Uganda naye aliua waumi wake karibia idadi hiyo hiyo hapo Uganda
Kwa kipindi hiki nafikiri waumini wanatakiwa wawe makini na wanachofundishwa kwani baadhi ya Watu hutafsiri vitabu vya dini kwa kupotosha ili kupata maana wanayoitaka kwa faida yao....
 
Nimemkumbuka huyu Mchungaji aliyeweza kufundisha mafundisho yaliyopelekea wafuasi wake wa kukaribia 1000 kujiua/kuuwawa hapo Kenya mwaka jana
Hii inafafa na Mchungaji Kibwetere wa Uganda naye aliua waumi wake karibia idadi hiyo hiyo hapo Uganda
Kwa kipindi hiki nafikiri waumini wanatakiwa wawe makini na wanachofundishwa kwani baadhi ya Watu hutafsiri vitabu vya dini kwa kupotosha ili kupata maana wanayoitaka kwa faida yao....

MK254 ni kondoo wake mwaminifu
 
Nimemkumbuka huyu Mchungaji aliyeweza kufundisha mafundisho yaliyopelekea wafuasi wake wa kukaribia 1000 kujiua/kuuwawa hapo Kenya mwaka jana
Hii inafafa na Mchungaji Kibwetere wa Uganda naye aliua waumi wake karibia idadi hiyo hiyo hapo Uganda
Kwa kipindi hiki nafikiri waumini wanatakiwa wawe makini na wanachofundishwa kwani baadhi ya Watu hutafsiri vitabu vya dini kwa kupotosha ili kupata maana wanayoitaka kwa faida yao....
Unawatakaje waumini wawe makini ilihali akili zao zinakuwa na uelekeo huo wa psychology..?

Unaushahidi hata mmoja wenye kuonesha upotoshaji kwenye vitabu vya dini labda..
 
Rudia tena kusoma;
Nimeandika hivi: hadithi ziliandikwa zaidi ya miaka 200 tangu kufariki kwa mtume....na baadhi ya hizo hadith zipo nyingi tu za upotoshaji/za uongo zilipenyezwa na wasio upenda uislam na ndio sababu kwenye mafundisho ya uislam haikutajwa kufuata mafundisho ya hadith!!!
Huyo mjinga muuza kangara hajakuelewa mkuu, hebu rudia tena! [emoji1][emoji1][emoji1]
 
hadithi sio vitabu vyetu, hayo ni masimulizi tu...
By the way, usibadilishe mada iliyoko mezani!
Rudi kwenye mada ya Mchungaji Paul Mackenzie Aliyefanikiwa kuua wafuasi wake wa kukaribia 1000 mwaka jana wakiwemo watoto wadogo hapo Kenya (msitu wa Shakahola) au Mchungaji Kibwetere aliyefanikiwa kuua wafuasi wake wa kukaribia idadi hiyo kule Uganda...

Vyote hata hiyo kurani ni masimulizi yenu yaliyoandikwa na muarabu na ambayo mnatumia kuua watu kulazimisha wamuabudu 'mungu' ambaye mkiulizwa mdhihirishe uwepo wake mtashindwa.

Kuhusu huyu shakahola, yeye kidogo yuko tofauti na nyie watu, yeye anauwa wajinga waliomfuata huko kwenye vilinge vyake, ila nyie mnaua watu ambao hawana haja na mambo ya dini yenu, mfano hai hiki kisa ambapo mliteka bus na kuchinja abiria ambao hawaendani na uzombi wa dini yenu Bus passengers massacred

Yote hiyo kisa muarabu aliwaagiza kwenye kurani yake mchinje watu
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Dini ishi nazo kimachale Mungu wako awe rohoni mwako pia utumie usomi wako kupambanua mambo.
 
Vyote hata hiyo kurani ni masimulizi yenu yaliyoandikwa na muarabu na ambayo mnatumia kuua watu kulazimisha wamuabudu 'mungu' ambaye mkiulizwa mdhihirishe uwepo wake mtashindwa.

Kuhusu huyu shakahola, yeye kidogo yuko tofauti na nyie watu, yeye anauwa wajinga waliomfuata huko kwenye vilinge vyake, ila nyie mnaua watu ambao hawana haja na mambo ya dini yenu, mfano hai hiki kisa ambapo mliteka bus na kuchinja abiria ambao hawaendani na uzombi wa dini yenu Bus passengers massacred

Yote hiyo kisa muarabu aliwaagiza kwenye kurani yake mchinje watu
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”

Nina wasiwasi na Afya ya akili ya baadhi ya wachangiaji;
Haiwezekani watu wanajadili mpira wa Yanga na Simba yeye anaingiza kilimo cha maparachichi

Rudi kwenye mada iliyopo mezani ya Mchungaji Paul Mackenzie Aliyefanikiwa kuua wafuasi wake wa kukaribia 1000 mwaka jana wakiwemo watoto wadogo hapo Kenya (msitu wa Shakahola) au Mchungaji Kibwetere aliyefanikiwa kuua wafuasi wake wa kukaribia idadi hiyo kule Uganda...
 
Nina wasiwasi na Afya ya akili ya baadhi ya wachangiaji;
Haiwezekani watu wanajadili mpira wa Yanga na Simba yeye anaingiza kilimo cha maparachichi

Rudi kwenye mada iliyopo mezani ya Mchungaji Paul Mackenzie Aliyefanikiwa kuua wafuasi wake wa kukaribia 1000 mwaka jana wakiwemo watoto wadogo hapo Kenya (msitu wa Shakahola) au Mchungaji Kibwetere aliyefanikiwa kuua wafuasi wake wa kukaribia idadi hiyo kule Uganda...

Mada iliyopo mezani ni utahira wa kidini ambapo wajinga walikwenda kufia kwa huyo shakahola, ila ni tofauti na utahira wenu wa kuua watu na kukata vichwa vyao kisa 'mungu' ambaye mnashindwa kudhihirisha uwepo wake, eti kurani imeandika.
 
Hiyo Hadithi sio Sahihi!
Wala sio Hasana!
Na wala sio Dhaifu!
Ila ni ya kutungwa

Vyote ni hadithi hadithi tu, hebu tudhihirishie kama hii ni hadithi au imetungwa, maana ipo kwenye kurani
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Hakuna muumini anakua makini... mana kuamini ni kutotia shaka na kua makini ni uwezo wa kudadisi na kuhoji. Sasa imani haiendani na kudadisi na kihoji... ukiambiwa na kuelekezwa jambo leader wako ameota usingizini ni lazma utii. Mana imani ni kutokua na shaka ni kutiii... imeeen[emoji1309][emoji1309]
 
Nimemkumbuka huyu Mchungaji aliyeweza kufundisha mafundisho yaliyopelekea wafuasi wake wa kukaribia 1000 kujiua/kuuwawa hapo Kenya mwaka jana
Hii inafafa na Mchungaji Kibwetere wa Uganda naye aliua waumi wake karibia idadi hiyo hiyo hapo Uganda
Kwa kipindi hiki nafikiri waumini wanatakiwa wawe makini na wanachofundishwa kwani baadhi ya Watu hutafsiri vitabu vya dini kwa kupotosha ili kupata maana wanayoitaka kwa faida yao....
"kuuwawa" kuuawa ingependeza zaidi.
 
Huyu mtu anaitwa MK254 ambaye amefungua account nyingi kwa majina tofauti tofauti naona anashida ya Afya ya Akili. Hivi kwa mtu mwenye akili timamu anawezaje kujadili mada ambayo haipo mezani?
Nimesema hivi: watu wanajadili mpira wa Yanga na simba
Yeye anachangia hoja ya Kilimo cha maparachichi
Huyu si wakupeleka mirembe?
 
Vyote ni hadithi hadithi tu, hebu tudhihirishie kama hii ni hadithi au imetungwa, maana ipo kwenye kurani
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
Mkuu Zote Quran na Biblia ni Hadithi pia..
About 2.191 i Think you should provide the whole verse starting from 2.190 it would be better!..

And offcuz hata Bible has those words too!

  • Luka 19:27

"Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa mwachinje mbele yangu."

"But those mine enemies, which would not that I should reign over them, bring hither, and slay them before me."

  • Kumbukumbu la Torati 7:2

"wakati BWANA, Mungu wako, atakapowatoa mbele yako, nawe utawapiga; wakati huo ndipo uwaondoe kabisa; usifanye agano nao, wala kuwahurumia; wala usioane nao;"

"And when the LORD thy God shall deliver them before thee; thou shalt smite them, and utterly destroy them; thou shalt make no covenant with them, nor shew mercy unto them:"


.....kill every woman who has known
a man by sleeping with him But all the young girls who have not known a man...keep them alive for yourselves. (Numbers 31:17)

"If two men are fighting and the wife of one of
them comes to rescue her husband from his
assailant and she reaches out and seizes him by his private parts, you shall cut off her hand. Show her no pity." - Deuteronomy 25:11-12


Lets Focus kwenye Amani tuliyonayo be4 hatujaipoteza kwa Elimu tulizolishwa Zisizokuwa na Kichwa wla miguu
 
Nimemkumbuka huyu Mchungaji aliyeweza kufundisha mafundisho yaliyopelekea wafuasi wake wa kukaribia 1000 kujiua/kuuwawa hapo Kenya mwaka jana
Hii inafafa na Mchungaji Kibwetere wa Uganda naye aliua waumi wake karibia idadi hiyo hiyo hapo Uganda
Kwa kipindi hiki nafikiri waumini wanatakiwa wawe makini na wanachofundishwa kwani baadhi ya Watu hutafsiri vitabu vya dini kwa kupotosha ili kupata maana wanayoitaka kwa faida yao....
Nasikia rumande anapewa chakula baada ya siku 2 😂😂😂
 
Huyu mtu anaitwa MK254 ambaye amefungua account nyingi kwa majina tofauti tofauti naona anashida ya Afya ya Akili. Hivi kwa mtu mwenye akili timamu anawezaje kujadili mada ambayo haipo mezani?
Nimesema hivi: watu wanajadili mpira wa Yanga na simba
Yeye anachangia hoja ya Kilimo cha maparachichi
Huyu si wakupeleka mirembe?
Hao wanaojadili Simba na Yanga wapelekwe Mirembe, mpira ulichezwa juzi nyie mnaendelea kubishana, hii ni hapa Tanzsnia tu.
 
Mkuu Zote Quran na Biblia ni Hadithi pia..
About 2.191 i Think you should provide the whole verse starting from 2.190 it would be better!..

And offcuz hata Bible has those words too!

  • Luka 19:27

"Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa mwachinje mbele yangu."

"But those mine enemies, which would not that I should reign over them, bring hither, and slay them before me."

  • Kumbukumbu la Torati 7:2

"wakati BWANA, Mungu wako, atakapowatoa mbele yako, nawe utawapiga; wakati huo ndipo uwaondoe kabisa; usifanye agano nao, wala kuwahurumia; wala usioane nao;"

"And when the LORD thy God shall deliver them before thee; thou shalt smite them, and utterly destroy them; thou shalt make no covenant with them, nor shew mercy unto them:"


.....kill every woman who has known
a man by sleeping with him But all the young girls who have not known a man...keep them alive for yourselves. (Numbers 31:17)

"If two men are fighting and the wife of one of
them comes to rescue her husband from his
assailant and she reaches out and seizes him by his private parts, you shall cut off her hand. Show her no pity." - Deuteronomy 25:11-12


Lets Focus kwenye Amani tuliyonayo be4 hatujaipoteza kwa Elimu tulizolishwa Zisizokuwa na Kichwa wla miguu

Sina haja ya kutafuta whole verse, tumeshuhudia waislamu wakikata vichwa vya watu wasioamini kwenye uzombi wa hicho kitabu chao, na ukisoma hili agizo wameshaagizwa wachinje watu
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”

Kila mtu aachiwe uhuru wa kuabudu mambo yake, tusilazimishane....
 
Sina haja ya kutafuta whole verse, tumeshuhudia waislamu wakikata vichwa vya watu wasioamini kwenye uzombi wa hicho kitabu chao, na ukisoma hili agizo wameshaagizwa wachinje watu
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”

Kila mtu aachiwe uhuru wa kuabudu mambo yake, tusilazimishane....
Yeah ni kweli kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom