Pre GE2025 Mchungaji Peter Msigwa aendelea Kuwavurumishia Makombora Mazito CHADEMA

Pre GE2025 Mchungaji Peter Msigwa aendelea Kuwavurumishia Makombora Mazito CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Mtumishi wa Mungu Mheshimiwa peter Msigwa ameendelea kuvurumisha Makombora Mazito mazito kwa CHADEMA,ambayo yameonekana kuteketeza na kusambaratisha kabisa kambi zoote za CHADEMA na kuwafanya askari wake kuishi kwa kutanga Tanga muda wote.

Mtumishi huyo wa Mungu aliyepitia mambo mbalimbali yaliyomkomaza na kuuona Mkono wa Mungu ukigusa Maisha yake ,ameonekana kuwa mwenye furaha ,tabasamu na matumaini makubwa sana tangia alipojiunga na CCM chama kiongozi Barani Afrika na ambacho kimekuwa tumaini la mamilioni ya watanzania.

Kikubwa ni wote wenye akili Timamu na wanaojitambua waliobakia CHADEMA kuhakikisha mnachukua hatua haraka kujiunga na CCM na kuanza upya maisha ya furaha na amani kuliko kuishi kwenye chama ambacho hakina uwezo hata wa kujisimamia.
Screenshot_20240828-193219_1.jpg

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Sasa naamini siasa ni kazi ngumu zaidi duniani kuliko kazi yoyote

Yaan ili uwe mwanasiasa inahitaji zqidi ya akili na uelewa wa kawaida

In fact unatakiwa uwe jiniklaud au jiniazi
 
Sasa naamini siasa ni kazi ngumu zaidi duniani kuliko kazi yoyote

Yaan ili uwe mwanasiasa inahitaji zqidi ya akili na uelewa wa kawaida

In fact unatakiwa uwe jiniklaud au jiniazi
Siasa ni sayansi na sayansi ina kanuni zake.
 
Msigwa amekuwa kama kikaragosi hakuna anayepoteza muda kumsikiliza, zaidi yako mleta mada.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mtumishi wa Mungu Mheshimiwa peter Msigwa ameendelea kuvurumisha Makombora Mazito mazito kwa CHADEMA,ambayo yameonekana kuteketeza na kusambaratisha kabisa kambi zoote za CHADEMA na kuwafanya askari wake kuishi kwa kutanga Tanga muda wote.

Mtumishi huyo wa Mungu aliyepitia mambo mbalimbali yaliyomkomaza na kuuona Mkono wa Mungu ukigusa Maisha yake ,ameonekana kuwa mwenye furaha ,tabasamu na matumaini makubwa sana tangia alipojiunga na CCM chama kiongozi Barani Afrika na ambacho kimekuwa tumaini la mamilioni ya watanzania.

Kikubwa ni wote wenye akili Timamu na wanaojitambua waliobakia CHADEMA kuhakikisha mnachukua hatua haraka kujiunga na CCM na kuanza upya maisha ya furaha na amani kuliko kuishi kwenye chama ambacho hakina uwezo hata wa kujisimamia.View attachment 3081602

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wana JF wote wana bubujika kwa maandiko Yako
 
Siasa ni sayansi na sayansi ina kanuni zake.
Siasa si sayansi, science is practical and require fact. Siasa doesnt need that, needs mdomo and ujanja ujanja.

Msomi mmoja aliwahi kusema politics is an art of lying to get something, only this time the liar is officialy recognized as politician
 
Nchi hii kila kukicha ni siasa tu.

Lini mtafanya midahalo ya kujadili kuanza kwa meli kubwa ukanda wa Afrika mashariki iliyokwama kuisha ujenzi ndani ya ziwa Victotia?
 
Back
Top Bottom