Pre GE2025 Mchungaji Peter Msigwa: Chama cha Siasa siyo Imani na hata Imani watu wanahama

Pre GE2025 Mchungaji Peter Msigwa: Chama cha Siasa siyo Imani na hata Imani watu wanahama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
''Chama cha siasa siyo imani, lakini hata imani watu wanahama. Ni ndoa ya ki-katoliki tu ndiyo ambayo huwezi kuachana, chama cha siasa kama nilivyosema kwamba tuna nchi ya kujenga''

---
Ndugu zangu watanzania,

Hayo ni Maneno yaliyotamkwa na mchungaji Peter Msigwa,Mbunge wa Zamani wa Iringa mjini.

Sina maneno mengi wala siweki neno langu lolote lile zaidi ya kuwawekea tu picha ili ninyi ndio mjadili kwa utulivu bila mihemuko wala jazba wala hasira wala chuki binafsi.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Usiwamini wana siasa...n km kinyonga tu hubadilika kulingana na mazingira aliyopo Kwa wakati huoo.

Hata ww una force tu km msigwa Ili upate ulaji ..au nasema uongo ndugu yangu
 
Njaa ikihamia kqenye ubongo hata Wazazi mtu anawakana sembuse Chama alichokijua ukubwani 😄️😄️😄️😄️😄️😄️😄️😄️😄️😄️
 
View attachment 3062642View attachment 3062643Ndugu zangu watanzania,

Hayo ni Maneno yaliyotamkwa na mchungaji Peter Msigwa,Mbunge wa Zamani wa Iringa mjini.

Sina maneno mengi wala siweki neno langu lolote lile zaidi ya kuwawekea tu picha ili ninyi ndio mjadili kwa utulivu bila mihemuko wala jazba wala hasira wala chuki binafsi.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe Umeasi Chama hujahama
 
View attachment 3062642View attachment 3062643Ndugu zangu watanzania,

Hayo ni Maneno yaliyotamkwa na mchungaji Peter Msigwa,Mbunge wa Zamani wa Iringa mjini.

Sina maneno mengi wala siweki neno langu lolote lile zaidi ya kuwawekea tu picha ili ninyi ndio mjadili kwa utulivu bila mihemuko wala jazba wala hasira wala chuki binafsi.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Alisema akihama chama chochote tukachome nyumba na gari. Alimaamisha nini vile! Si alimaamisha ndilo kabila lake maana kabila hauwezi kuhama
 
Mwache aendelea kujichonoa na kidole ....time will tell
 
View attachment 3062642View attachment 3062643Ndugu zangu watanzania,

Hayo ni Maneno yaliyotamkwa na mchungaji Peter Msigwa,Mbunge wa Zamani wa Iringa mjini.

Sina maneno mengi wala siweki neno langu lolote lile zaidi ya kuwawekea tu picha ili ninyi ndio mjadili kwa utulivu bila mihemuko wala jazba wala hasira wala chuki binafsi.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Huyo tumbili anazidi kujidhalilisha tu,kilichomuodoa Chadema ni baada ya kushindwa uchaguzi wa Kanda ya Nyasa, hivyo hata hao wanaomsikiliza na kumuamini ni wapumbavu kwani wanaujua ukweli wote. Tumbili ni tumbili tu.
 
Njaa zinafanya Vyama vya siasa vidumae na kushindwa kufikia malengo yake.
Wanamageuzi wenye nia ya kujinufaisha maslahi binafsi hawawezi kuhimili mikiki mikiki ya Vyama vya upinzani.
 
Falsafa ya CCM ni imani anatakiwa kujua hilo kwanza
Ameshasema sio imani. Labda umpigie simu umkaririshe hili, hata hivyo yeye sio mjinga anajua huko ccm pia sio imani bali ni mlo.
 
Kauli za hovyo kutoka kwa mtu wa hovyo zikiletwa na mtu wa hovyo pia.
 
Back
Top Bottom