Mchungaji wa usharika mmoja mkubwa jijini Dsm anataka kudhulumu kiwanja chetu baada ya kumuingiza mjini msimamizi wa mirathi...
Mbaya zaidi amejenga mgorofa wake na kutaka kutudhulumu.
Tunaka kumfikishia salamu zetu atazipata kwa baba Askofu siku sio nyingi
Familia imeshamuomba kwa amani tumalizane lakini anachenga sasa niwakati wa kumuanika maovu yake na ili iwe fundisho kwa wachungaji wote wanaodhulumu mali za waumini.
Eneo ni Mbezi karibu na Mzee Yowela yeyote atakaye soma makala hii amfikishie salam hizi
Eneo lilikuwa la familia akanunua pasipo kibali cha familia. Mbaya zaidi akajiongezea mpaka eneo sio lake kiukweli familia tunataka kumuenda mwasham Baba askofu kanisa la KKKT Dsm kumshitaki.
Maana njia ya amani ameona ni ngumu sasa nikumchana live tutaweka na usharika wake katikati ya mji kufichuwa uovu huu ana siku 7 kufanyia kazi hili shauri kabla hatujamuanika.
Mbaya zaidi amejenga mgorofa wake na kutaka kutudhulumu.
Tunaka kumfikishia salamu zetu atazipata kwa baba Askofu siku sio nyingi
Familia imeshamuomba kwa amani tumalizane lakini anachenga sasa niwakati wa kumuanika maovu yake na ili iwe fundisho kwa wachungaji wote wanaodhulumu mali za waumini.
Eneo ni Mbezi karibu na Mzee Yowela yeyote atakaye soma makala hii amfikishie salam hizi
Eneo lilikuwa la familia akanunua pasipo kibali cha familia. Mbaya zaidi akajiongezea mpaka eneo sio lake kiukweli familia tunataka kumuenda mwasham Baba askofu kanisa la KKKT Dsm kumshitaki.
Maana njia ya amani ameona ni ngumu sasa nikumchana live tutaweka na usharika wake katikati ya mji kufichuwa uovu huu ana siku 7 kufanyia kazi hili shauri kabla hatujamuanika.